Nukuu toka kwa Rais Magufuli (QUOTES)
Tukumbusheni na ile ya kumpongeza Trump

Hohoo mzee huo uchokonozi nina hofu utakutwaa kwenye uchochezi.Hotuba ya kiingereza iliyojaa makosa pomoni ya kisarufi?wazee wa suti nyeusi watakubinya kokwa.
 
Halafu akiongea kiingereza kidogo lazima atoe definition ya Catalyst
 
"Naona mvua zinataka kunyesha hivyo nitahutubia haraka ili mkalime" JPM -Kagera
 
Katika dunia ya sasa hakuna kitu kinaweza kupotea ili mradi kimewahi kutamkwa mbele ya jamii. Lakn pia tunaweza kupoteza vitu admu pale tu tutakaposhindwa kuweka kumbukumbu kwa vizazi vijavyo na vya sasa. Kwa kipindi kirefu tumekua na nukuu za Baba wa Taifa mwalimu nyerere. Ni wakati mwafaka kuweka kumbumbuku ya maneno mazuri ya mheshimiwa Rais Magufuli.

Duniani tuna nukuu (quotes) zawa watu maarufu kama Martn Luther king, Jr. Abraham lincoln na wengine wengi. Kwa hapa kwetu tuna nukuu za baba wa taifa mwalim Nyerere.

Sasa ni wakati mwafaka kuweka nukuu zake kwenye uzi huu. Usihofu iwe mbaya masikio mwako au iwe nzuri wewe weka tu maana lolote analo litamka mkuu wa nchi linapaswa kutunzwa.

Naweka maneno mawili matatu kuanzisha ukurasa wa maneno ya mkuu wetu.

[emoji860][emoji860]Mimi ni raisi wa maskini wanaoshi kama malaika wataishi kama mashetani[emoji779]️[emoji779]️

[emoji860][emoji860]serikali yangu haitawapa chakula Kila mtu atabeba msaba wake njaa haijaletwa na serikali[emoji779]️[emoji779]️

[emoji860][emoji860] hakuna serikali iliyowahi kujenga nyumba za wahanga duniani pote. Nasisi hatujengi.[emoji779]️[emoji779]️

[emoji860][emoji860] hakuna kufanya za siasa mpaka 2020 siasa huzuia maendeleo[emoji779]️[emoji779]️

[emoji860][emoji860] siwezi kuwashirikisha wapinzani kwenye serikali yangu. Nakushangaa sheni kuwaingiza wapinzani[emoji779]️[emoji779]️

[emoji860][emoji860]sijawahi kutamka katiba kwenye kampeni zangu za kuomba urais , katiba sio kipaumbele changu kwa sasa nainyoosha nchi kwanza[emoji779]️[emoji779]️

[emoji860][emoji860]police mkukita mtu anaendesha gari kwenye njia ya mwendo kasi ng'oa tairi uzeni[emoji779]️[emoji779]️

[emoji860][emoji860]watoto watasomeshwa bure kwenye utawala wangu hivyo fyatueni watoto wengi maana watasoma bure[emoji779]️[emoji779]️

Haya ni machache kati ya mengi aliyowahi kuyaongea . Ni wakati mwafaka kuweka maneno yake hapa.
1483894954597.jpg
Iam sorry
 
Kuna mtu nimeambiwa hapa Zanzibar anazuia watu kutumia kisima,huyo dawa yake mnamtumbukiza kisimani akitoka atakuwa ametosheka maji.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji779] [emoji124]
 
Gereza sio sheraton hotel,wafungwa waenyeshwewafanyekazi,wapate chakula kwa jasholao.
 
Ahahahaaaaaa...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ..Imebidi niigize hiyo kauli huku nmepindisha kichwa...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Hahaaa!tararibu bwana mymy bwana yule akighadhibika patachimbika.Si unajua hasira za mnyama faru?faru yohana
 
"Women with beauty but no brains, it's her private parts that get hurt the most"-R.Mugabe.
 
Back
Top Bottom