Nukuu toka kwa Rais Magufuli (QUOTES)
Katika dunia ya sasa hakuna kitu kinaweza kupotea ili mradi kimewahi kutamkwa mbele ya jamii. Lakn pia tunaweza kupoteza vitu admu pale tu tutakaposhindwa kuweka kumbukumbu kwa vizazi vijavyo na vya sasa.

kikishatamkwa hakiwezi kupotea katika dunia ya sasa mradi kimewahi kutamkwa mbele ya jamii, sasa ya nini kukiandika?
 
Naona wengine wanamlisha maneno ambayo hajatamka. Tumtendee haki japokuwa yeye hataki kutendea wengine haki. Hotuba ama porojo zote za mtukufu ziko kwenye YouTube. Kama kuna mtu ana utaalamu basi atupakulie hapa.
 
Inaonesha hafuatilii kbsa habari za nje MUNGU WA LIZABONI. AKiamka asubuhi anakunywa chai safi ya maziwa na mazagazaga kibao. Wengine watajiju kuzaliwa tz. Anatafuta wa kutumbua.
Kuwa Mtanzania ni zaidi ya mazoezi ya ukomandoo! Halafu mjinga mmoja anakuja na hoja kufanya mazoezi kila mwezi!
 
Back
Top Bottom