Nukuu toka kwa Rais Magufuli (QUOTES)
Nimtumbue au nisimtumbue.... Jukwaani hiyo.. Mkurugenzi Wa jiji la dar... Marehemu
 
Kuna mtu alisema hizi ndege ni mtumba, nipo tayari kumlipia tiketi akae siti ya mbele aone zinavyokata mawingu.!
Ubora wa ndege sio kukata mawingu! Bali ni pamoja na kutua vizuri uwanjani bila kuita coaster bus ya shutting down!
 
Majina ya pesa yatapewa eshima nakuitwa majina yao sio buku jero wala msimbazi [emoji356]
 
Hahaa na kwakuwa anakatalia watu kutumia kisima mdumbukizeni kisimani,akitoka atakuwa katosheka maji.Naona wazenji wakabaki midomo wazi.
 
Kiwanɗa cha kuzalisha mɓolea Minjigu kuzalisha maradufu
 
hahaa!kuliko yako mkuu?nikiiona yako huwa najikuta nimekenua meno yangu makubwa mithili ya huyo in ur avatar.
Mimi ndivyo nilivyo handisamu lakini wewe mkuu umelibeba hilo jitu, looo!
 
Nitajenga barabara za juu na chini kwelikweli...

Bukoba itakuwa kama ulaya...
 
"pasitokee mtu wa kuwadanganya serikali itagawa chakula,hauwezi kugawa chakula ardhi nyeu....ya kijani namna hii" Jm
 
Tumetengeneza barabara mtu anatoka mtwara asubuh na bajaji jioni yuko bukoba

Hahaa!naona faru(haka kajina nakazoea nikitiwa nguvuni ndururu saba milioni sina) anajaribu kutumia mbinu ya kisanaa ya utiaji chumvi(mubaalagha).
 
Mimi nawaeleza ukweli mmenichagua niseme ukweli
 
Mnichague niende nikafunge makufuli yangu huko kwamafisadi
 
Kwenye utawala wangu nimarufuku wanafunzi kuzungushwa kupata mikopo
 
Zote hapa tunaweka kumbukumbu sawa hata kwa watakaoukuwepo watakuja kumjua alikuwa mtu wa aina gani.
Hohoo!anataka kuandika kiingereza cha bwana mkubwa?kilichokosa sarufi safi?halafu waungwana wakosoe!hajipendi?wale wazee wa miwani myeusi watambana na koleo kende mpaka aimbe wimbo ule wa irabu 5 kwa sauti kuu.
 
Back
Top Bottom