Nukuu toka kwa Rais Magufuli (QUOTES)
Kuna MTU aliwahi kusema; "WANAFUNZI WA UDOM NI VILAZA" Kisha wakamdisco mtoto wake!

Hii nayo ni quote aise!
 
Hyungnim ahahaha tisha sana

Shukrani mzee.Nimekusaka sana sijakuona.Kuna riwaya ya Shani kule MMU isake upate maneno ya kisanaa(mpatie waifu ila usiirudufu).Pia ipo nyingine "Ukosefu wa ajira na yaliyonipata IPO hapa jamvini pia habari+hoja mseto.
 
Gereza sio SHERATON hotel,wafungwa waenyeshwe kazi kwerikweri.
 
' ...Huwa nafurahi zaid nikitumbua Mtu kuliko kuteua'.

Siku ya Uzinduzi wa Kiwanda cha Bakhresaa akichimba Biti kwa Meneja wa Tanesco apeleke Umeme kwa haraka Kiwandani


'Watu wanashangaa tunavunja Mikataba ya Wawekezaji nini Mikataba zinavunjika ndoa'


' Gari litakalopita kwny Mabarabara ya Mwendokasi Askari akilikamata akongorowe tairi akauze akikuuliza Mwambie ulileta bila ya tairi'

Huyu Raia ni kweli anahutubia toka Moyoni
 
Taratibu ndugu yangu, siku hizi wanatumia MAWE na VISULPHATE.
kama Rais wangu wa A.town Mh.Lema yuko ndani kwa ajiri ya watanzania wanyonge sasa nini nimejitoa muhanga kuitetea nchi yangu siwezi kuona nchi yangu inateseka kwa ajiri ya mtu mmoja tena mwenye a elimu ya kuunga waje hapa Atow kijenge mwanama waulizie tu swissme ni nani na nitawaeleza nao.


swissme
 
"Ambaye hataweza kulipa mia mbili kwenye panton apige mbizi"
 
Hii nayo ni ya kweli, ''mkitaka lami kwenda kijini kwenu jipangeni njiani kila mmoja afanye ,yake' mara tatu lami itakuwa tayari"

Wananchi:Mzee nasi huku kijijini twatamani lami kama chato mjini.Tunaomba utuletee.
Yohana:subirini hadi tutakapo kaa na kulijadili na serikali ili itutengee bajeti..
wananchi(wakionekana kutoridhishwa na jibu la Yohana ) nasisi tunataka lami.Manvua(badala ya mvua) yakishuka tunatesekaga(kwa lafudhi ya kisukuma)
Yohana(sasa dhahiri amekasirika.Pumzi zinashindana)Kama mnaitaka sana lami kunyeni mavi mkapake barabarani.
wanachi wananyongea kwani waligwaya nabadiliko ya mwonekano wa USO...uliogofya.

wanawake wakamwomba maji ,akawajibu(akiwa kafura kwa hasira) kojoeni mikojo jazeni mapipa....
 
Katika dunia ya sasa hakuna kitu kinaweza kupotea ili mradi kimewahi kutamkwa mbele ya jamii. Lakn pia tunaweza kupoteza vitu admu pale tu tutakaposhindwa kuweka kumbukumbu kwa vizazi vijavyo na vya sasa. Kwa kipindi kirefu tumekua na nukuu za Baba wa Taifa mwalimu nyerere. Ni wakati mwafaka kuweka kumbumbuku ya maneno mazuri ya mheshimiwa Rais Magufuli.

Duniani tuna nukuu (quotes) zawa watu maarufu kama Martn Luther king, Jr. Abraham lincoln na wengine wengi. Kwa hapa kwetu tuna nukuu za baba wa taifa mwalim Nyerere.

Sasa ni wakati mwafaka kuweka nukuu zake kwenye uzi huu. Usihofu iwe mbaya masikio mwako au iwe nzuri wewe weka tu maana lolote analo litamka mkuu wa nchi linapaswa kutunzwa.

Naweka maneno mawili matatu kuanzisha ukurasa wa maneno ya mkuu wetu.

[emoji860][emoji860]Mimi ni raisi wa maskini wanaoshi kama malaika wataishi kama mashetani[emoji779]️[emoji779]️

[emoji860][emoji860]serikali yangu haitawapa chakula Kila mtu atabeba msaba wake njaa haijaletwa na serikali[emoji779]️[emoji779]️

[emoji860][emoji860] hakuna serikali iliyowahi kujenga nyumba za wahanga duniani pote. Nasisi hatujengi.[emoji779]️[emoji779]️

[emoji860][emoji860] hakuna kufanya za siasa mpaka 2020 siasa huzuia maendeleo[emoji779]️[emoji779]️

[emoji860][emoji860] siwezi kuwashirikisha wapinzani kwenye serikali yangu. Nakushangaa sheni kuwaingiza wapinzani[emoji779]️[emoji779]️

[emoji860][emoji860]sijawahi kutamka katiba kwenye kampeni zangu za kuomba urais , katiba sio kipaumbele changu kwa sasa nainyoosha nchi kwanza[emoji779]️[emoji779]️

[emoji860][emoji860]police mkukita mtu anaendesha gari kwenye njia ya mwendo kasi ng'oa tairi uzeni[emoji779]️[emoji779]️

[emoji860][emoji860]watoto watasomeshwa bure kwenye utawala wangu hivyo fyatueni watoto wengi maana watasoma bure[emoji779]️[emoji779]️

Haya ni machache kati ya mengi aliyowahi kuyaongea . Ni wakati mwafaka kuweka maneno yake hapa.
mimi sikuahidi tetemeko.
 
' ...Huwa nafurahi zaid nikitumbua Mtu kuliko kuteua'.

Siku ya Uzinduzi wa Kiwanda cha Bakhresaa akichimba Biti kwa Meneja wa Tanesco apeleke Umeme kwa haraka Kiwandani


'Watu wanashangaa tunavunja Mikataba ya Wawekezaji nini Mikataba zinavunjika ndoa'


' Gari litakalopita kwny Mabarabara ya Mwendokasi Askari akilikamata akongorowe tairi akauze akikuuliza Mwambie ulileta bila ya tairi'

Huyu Raia ni kweli anahutubia toka Moyoni

Maamuzi yake+matamko hayakinzani sana na maamuzi ya mnyama faru.Faru Yohana kajina kazuri haka tena ukatamke kwa bashasha..
 
Tunataka kununua ndege alafu Kuna watu ukisoma comment zao yaani utadhani sio watanzania...yaani natamani malaika washuke na kufunga mitandao..
 
(kwa sauti ya Kisukuma)....Majiphu ni ya kutumbhuliwa tu.Likiwa usoni. Tumbua. Likiwa kichwani. Tumbhua...Tumbua. Tumbua. Tumbua.....
 
Kikwete una moyo wa huruma kweli, nungekuwa mimi wote walioimba Wana imani na mtu fulani ningewapotezA kama nusu hivi
 
Back
Top Bottom