Nukuu toka kwa Rais Magufuli (QUOTES)
Shukrani mzee.Nimekusaka sana sijakuona.Kuna riwaya ya Shani kule MMU isake upate maneno ya kisanaa(mpatie waifu ila usiirudufu).Pia ipo nyingine "Ukosefu wa ajira na yaliyonipata IPO hapa jamvini pia habari+hoja mseto.
nitakuja mkuu!
' ...Huwa nafurahi zaid nikitumbua Mtu kuliko kuteua'.

Siku ya Uzinduzi wa Kiwanda cha Bakhresaa akichimba Biti kwa Meneja wa Tanesco apeleke Umeme kwa haraka Kiwandani


'Watu wanashangaa tunavunja Mikataba ya Wawekezaji nini Mikataba zinavunjika ndoa'


' Gari litakalopita kwny Mabarabara ya Mwendokasi Askari akilikamata akongorowe tairi akauze akikuuliza Mwambie ulileta bila ya tairi'

Huyu Raia ni kweli anahutubia toka Moyoni
tena sana,bila unafiki!
 
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Rutera ngoma - kifaa cha mwanaume cha kufanyia mambozz kwenye kitanda.
 
Seriously ............................!!?

It does not mean that I do not know a definition of research which is a process of generating knowledge but there are some research questions which are not doable. So how do we argue about issues which are not researchable? Philosophically, it is possible to do it by starting with ideas which are tested later; in other words, we use theories; however, knowledge generation is a process-in-motion. Again, it is also possible to argue based on principles or theories or models. Above all, there are matters which are axiomatic.

This is the reason for me to worry when I hear people use that saying since it is very likely that some of them define it differently.
 
Naona hakuna zuri linalosemwa kuhusu huyu rais. Naomba tu 2020 tukayaseme haya haya kwenye sanduku la kupigia kura ikiwa chama kitamsimamisha tena.

[HASHTAG]#SirudiiKosa2020[/HASHTAG]
Niwewe,au kuna mtu ka hack i.d yako!?
Ahahaha
Hata nukuu alizoongea kiingereza tunaruhusiwa kuweka?
weka!
"Katika mihimili ya dola kuna mhimili uliojichimbia chini zaidi"
bunge,mahakama tupa kule...
 
ngono + Katerero ni vijiji imara sana katika kilimo cha ndizi

Nadhani mnakumbuka kitabu cha shule yamsingi by then cha Kiswahili wakati mtaala uko sawa sawa sio kipindi hiki ambacho mtaala mtu anakurupuka na kubadilisha au kuondoa mathalan michepuo n.k. watoto wanakuwa viduku vitupu. Anyhow! "Siku ya Gulio Katerero" nilitaka kusema.
 
Wananchi:Mzee nasi huku kijijini twatamani lami kama chato mjini.Tunaomba utuletee.
Yohana:subirini hadi tutakapo kaa na kulijadili na serikali ili itutengee bajeti..
wananchi(wakionekana kutoridhishwa na jibu la Yohana ) nasisi tunataka lami.Manvua(badala ya mvua) yakishuka tunatesekaga(kwa lafudhi ya kisukuma)
Yohana(sasa dhahiri amekasirika.Pumzi zinashindana)Kama mnaitaka sana lami kunyeni mavi mkapake barabarani.
wanachi wananyongea kwani waligwaya nabadiliko ya mwonekano wa USO...uliogofya.

wanawake wakamwomba maji ,akawajibu(akiwa kafura kwa hasira) kojoeni mikojo jazeni mapipa....
Hii sijawah isikia
 
"Bora iingie meli moja inayolipa kodi kuliko kuwa na meli mia zisizo lipa kodi"
How about the par capita consumption of products and services - goods? Nafikiri kwa utashi bora kinyume chake maisha yatakwenda kuliko upate kodi moja isiyotosha chochote na mahitaji hayapatikani. Nafikiri wataalamu wa uchumi watashauri na kufafanua maana kamili ya kodi. Kama kila mtu atajitosheleza na kila jamii itajitosheleza, na kila nchi itajitosheleza kodi haina nafasi wala mantiki. Hizi ni fikra zangu anyhow!
 
Back
Top Bottom