Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha haaaa hii sentensi inaniumaga sana.... Jamaa mifano mibaya ndo anampigia mke wake afu wake za wenzake anawasifu wazuri....Hata mke wangu Janet akivunja sheria mkamateni!!
Huyu ni JK siyo JPMUkitaka kula sharti uliwe!
Alikuwa anaipenda Sana hii kauli.#Sitawaangusha#
Hapo ndipo mtakapojua kampeni ni mnada wa maneno na kura ni tafakari ya matendo,kama mlipiga kura sababu ya maneno ya kampeni basi mumewolewaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] you made my day.Walibya walipigana wakamuua rais wao SaadamHussein......... NOOO!! Walimuua Ghadafii, Saadam ni wa Kuwait[emoji23][emoji23]................ I wish I could be Auto correct but it doesn't function to that extent.[emoji40][emoji40]