NYARAKA: Katiba Inayopendekezwa Oktoba, 2014 (Tanzania's Proposed Constitution)

Mwakaboko a jumping human being kwenye kila msafara hata wa siafu yeye analazimisha kuingia tu.
Huyo uliyemquote hapo juu kapotosha, in my post nilisema mawaziri 40, wote kwa ajili ya nini, Arobaoni ni wengi sana hawahitajiki. Ukaamua kutumia lugha ya kejeli dhaidi yangu. Mawaziri 40 wa nini. Leo kuna wizara zipo, hazikustahili kuwa wizara ila kwa kuwa mkubwa hajambi basi zipo. Tuwe wazalendo jamani kwa Taifa letu maskini, mnapokula good time mjini mkumbuke huku vijijini watu wanahangaika maji hakuna, pesa zipelekwe kwenye maendeleo ya jamii ya Kitanzania siyo kutunza mawaziri, na hilo linawezekana tukiwa na wizara chache, maana kumtunza waziri mmoja ni gharama kubwa sana kuliko mkurugenzi
 


Wewe unawaza kuiba tu na kuwawajibisha viongozi wakati wewe mwenyewe������������ unatakiwa kuwajibishwa!!! Nchi za kidemokrasia ndio nini hicho kwani nchi yako ikoje au wewe sio mtanzania?? Hujawahi kupiga kura hata siku moja?kiongozi umpigie kura za ndiyo unataka akathibitishwe na bunge, na hata wateule wa rais ?Je na huyo mbunge nani anamthibitisha??? Unataka mfumo wa wewe kuwawajibisha uweje? Ukimchagua leo na kesho ukamuwajibisha gharama zake utalipa?? Na kama imetokea ndani ya mwezi wabunge 20 wakakosa kurudi majimboni na wananchi wakakasirika wakiwawajibisha gharama za uchaguzi utagharamia wewe???? Acha ushabiki na ujuha wewe tumia akili!!!
 

Ni kukejeli kwa lipi?jenga hoja usilalame hapa! Unataka ziwe wizara ngapi? Toa majibu usipende kuongea kwa ujumla wake njoonna solution tujadili kuanzia hapo sio uishie kupunguza wizara je unataka ziwe ngapi?
 
Ni kukejeli kwa lipi?jenga hoja usilalame hapa! Unataka ziwe wizara ngapi? Toa majibu usipende kuongea kwa ujumla wake njoonna solution tujadili kuanzia hapo sio uishie kupunguza wizara je unataka ziwe ngapi?
wizara kumi na saba na mawaziri kumi na saba, naibu waziri nane. Leo kuna wizara zina manaibu waziri wakati hazikustahili kuwa na manaibu waziri, mfano wizara ya sheria, naibu waziri wa nini pale, mambo ya ndani naibu waziri wa nini, wizara ya ulinzi naibu waziri wa nini pale. wizara ya uwekezaji ya nini wakati tuna wizara ya biashara na viwanda. wizara ya sayansi ya nini wakati kuna wizara ya elimu, kwanini isiwe ni kurugenzi pale elimu. Wizara ya uchukuzi kwanini isiwe kurugenzi katika wizara ya ujenzi. Leo kuna wizara zina mnaibu waziri wawili wawili, wa nini wote hao!!! huenda labda ukaanza kunielewa. Watanzania tuache uvivu wa kufikiri. Mbona wenzetu walioendlea serikali zao sio kubwa kama zetu wakati wao wanapesa nyingi kuliko sisi
 

Walioziweka mwana akili kuliko wewe mburura.
 
Walioziweka mwana akili kuliko wewe mburura.
Asante sana Professor, mwalimu wangu wa darasa la kwanza, kwa kugundua kuwa sijui kusoma na kuandika, hata hii post nimemwamba mtu anipostie baada ya kusikia kuwa unaninanga huku JF, baada ya kuwa umepewa hela na mafisadi wenzako ili uitetee katiba waliyopitisha kwa hila, ili kulinda ufisadi wao. Nakupongeza sana kwa hili, asante wewe uliyesoma na ukaninunulia na komputa na simu ukanipa tena ukanifundisha, ukaona sifundishiki hata simu ukaona nashindwa kuitumia. Nakushukuru sana kwa sababu hata kujua na kusoma pia umeona sijui.
 

Ishiiiii we nae hapa umeongea nini unalalama tu hata hausomeki, acha kupoteza muda kuconstruct meaningless sentenses, afu mbaya zaidi masentensi yako marefu yanaboa tu!!!
 


Teh teh teh teh teh kweli this is Mburulas time!!!
 

Kweli Serikali yako naifananisha na ile ya Giningi peka huko Hata haina matokeo hiyo
 
Halafu Democrasia ya kuwaambia wana ccm wote wapige kura ya ndiyo na atakayeipigia katiba hii kura ya hoapana arudishe kadi ya ccm? Sijui watasimama kwenye ballot boxes kukagua kila mtu na chama chake ili kuwabaini ccm watakaopiga kura ya hapana ili wawafukuze au watalazimisha kura za wazi na kila mtu awe na nembo ya chama chake?

Tabu kweli kwlei.


Demokrasia ya kumfukuza kazi mwanasheria mkuu wa znz?
 
Tusidanganyane kwenye mambo muhimu kama haya iyo rasimu ya katiba mpya ni wananchi wangapi wanaifahamu au wamekwisha ipitia na kutoa maoni yao
 
Kweli Serikali yako naifananisha na ile ya Giningi peka huko Hata haina matokeo hiyo

Ishiiiii we nae hapa umeongea nini unalalama tu hata hausomeki, acha kupoteza muda kuconstruct meaningless sentenses, afu mbaya zaidi masentensi yako marefu yanaboa tu!!!
Asante sana Professor, mwalimu wangu wa darasa la kwanza, kwa kugundua kuwa sijui kusoma na kuandika, hata hii post nimemwamba mtu anipostie baada ya kusikia kuwa unaninanga huku JF, baada ya kuwa umepewa hela na mafisadi wenzako ili uitetee katiba waliyopitisha kwa hila, ili kulinda ufisadi wao. Nakupongeza sana kwa hili, asante wewe uliyesoma na ukaninunulia na komputa na simu ukanipa tena ukanifundisha, ukaona sifundishiki hata simu ukaona nashindwa kuitumia. Nakushukuru sana kwa sababu hata kujua na kusoma pia umeona sijui.
 
Teh teh teh teh teh kweli this is Mburulas time!!!
Asante sana Professor, mwalimu wangu wa darasa la kwanza, kwa kugundua kuwa sijui kusoma na kuandika, hata hii post nimemwamba mtu anipostie baada ya kusikia kuwa unaninanga huku JF, baada ya kuwa umepewa hela na mafisadi wenzako ili uitetee katiba waliyopitisha kwa hila, ili kulinda ufisadi wao. Nakupongeza sana kwa hili, asante wewe uliyesoma na ukaninunulia na komputa na simu ukanipa tena ukanifundisha, ukaona sifundishiki hata simu ukaona nashindwa kuitumia. Nakushukuru sana kwa sababu hata kujua na kusoma pia umeona sijui.
 

Wee nae nani kakupa taarifa hiyo ya uongo?afu na wewe unakubali na unatuletea uongo hapa jamani sio vizuri, kula ya mtu ni siri bana kama huna mchango hapa sepa zako!
 

Wee nae nani kakupa taarifa hiyo ya uongo?afu na wewe unakubali na unatuletea uongo hapa jamani sio vizuri, kula ya mtu ni siri bana kama huna mchango hapa sepa zako!
 
Huwezi kuniita mwongo bila ushahidi. Kama hujui unapaswa kuuliza. Maneno haya aliyatamkwa na viongozi wa juu wa ccm na madia zlitangaza. Kila mtu alisikia kasoro wale hawatiliii manani.

Kama unabisha, wauliza Lukuvi na Wasira, kama hawakuweka sheria ya wanachama wao wote lazima wapigie kura ya ndiyo vinginvyo warudishe kadi.

Tafadhli usijifanye huelewi msimamo wa viongozi wa ccm.


Wee nae nani kakupa taarifa hiyo ya uongo?afu na wewe unakubali na unatuletea uongo hapa jamani sio vizuri, kula ya mtu ni siri bana kama huna mchango hapa sepa zako!
 
.Ulipaswa kujibu hoja, pale unapoktaa useme ni kwa n ini haiwezekani na pale unapofurahia, useme ni kwa nini unadhani kuwa ni pazuri.

Kubisha kwa matusi ni kukosa hoja. Unapomwita mwenziyo aliyetoa hoja na mawazo yake kwa kumwita Mburural, wakati hata wazo moja la kuchangia huna zaidi ya kubisha na matusi, kila anayetazama anakuona wewe ndiye juha jendawazimu, lisiko la akili hata ya kutambua nini lnafanya. Jierekebishe.


Teh teh teh teh teh kweli this is Mburulas time!!!
 
Tusidanganyane kwenye mambo muhimu kama haya iyo rasimu ya katiba mpya ni wananchi wangapi wanaifahamu au wamekwisha ipitia na kutoa maoni yao

ndugu watoka wapi weye a posst yako moja kuja kuvuruga mdahalo hapa? Niambie ili ya mwaka 1977 umeshaisoma sura zote unakimbilia hii?????!
 

Na wewe hapo umetoa hoja au umeharibu ha ha ha ha kweli mbilikimo hajijui kama ni mfupi akiwa peke yake ni mpaka akutane na watu warefu ndio anaona tofauti nilijua wewe ni bonge la mstaarabu kumbe umo kwenye list ya majuha!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…