Nyerere alikosea sana alipokumbatia wahindi/warabu na kuwafukuza wazungu

kwa ninavyofahamu Nyerere hamkufukuza mzungu, mhindi wala mwarabu. Walioondoka waliondoka kwa hiari yao. Wahindi tena mpaka na mali zao hasa nyumba, hizi za national Housing Corporation (NHC) nyumba za katikati mjini wanazomiliki nyingi zilikuwa za wahindi. Nyerere ndio hakutakaga ubaguzi wa aina hiyo. Aliwahi kusema hata km we ni mweusi km unabagua wengine we ni kaburu tu ila tofauti na makaburu wa Afrika Kusini itakuwa ni rangi tu.
 
Do you know me personal????unajua jamiiforum Kuna vituko sana na hii inaonyesha jinsi ulivyo mjinga nikukumbeshe kajifunze maana ya forum
 
Ofisi ipo kariakoo ukajenge bunju au boko masaa 6 kwa siku upo barabarani una akili kweli.
Wao wanakaa juu ofisi ipo chini. Ishu ya security, ishu ya time management, ishu ya economy kuokoa gharama
Wote tukae posta au kariakoo patatosha kweli mbona unafikra mfu hivyo, sensa ya mwaka Jana inasema tuko million 5.2 kwa hiyo wote tukakae posta na kariakoo
 
Hujui kama hili ni jukwaa au forum nilishakuja kukulia shida mpaka unaniambie nifocus kwenye maisha unajua ujinga unakusumbua sana hii ni forum unajua maana ya forum
Nimesha jua upeo wako wa AKILI kwenye Comment hii ndugu yangu upo very shallow kwenye upeo wa kufikiria basi nisamehe mm mjinga.

Sent from my SM-S901B using JamiiForums mobile app
 
Nimesha jua upeo wako wa AKILI kwenye Comment hii ndugu yangu upo very shallow kwenye upeo wa kufikiria basi nisamehe mm mjinga.

Sent from my SM-S901B using JamiiForums mobile app
We ndo uko shallow unashindwa kuelewa hii ni forum watu wako free kutoa mawazo yao ndo lengo la jamiiforum tatizo lako ujinga na mawazo mgando ndo kinachokusumbua tatizo lako unataka kupost kile kinachokufurahisha utasubiri sana
 
Moja ya sababu kubwa inayotufanya mijitu myeusi kuendelea kuwa masikini ni ubaguzi, chuki na roho mbaya.
Kama Uzi ungekua na chuki sidhani kama moderator wangeruhusu uendelee kuwepo, kama unajua kusoma hakuna sehemu yeyote Ile Kuna lugha ya chuki au ubaguzi kwenye uzi
 
Nyerere alijua siasa hakujua uchumi.
Kambona alikuwa sahihi.Kosa lake kubwa ni kuswitch uchumi kutoka mfumo wa kikoloni na kupeleka kwenye mfumo wa ujamaa wa China pasipo kuzijua tabia za waswahili au watz. Uchumi wa pamoja unafaa kwa zile Jamii ambazo tayari ni high matured.
Kiasili mwafrika ni mvivu na apendi Kazi thus mkoloni alitumia vitu kama nguvu, kodi, starehe, anasa Ili kumforce mwafrika afanye kazi. SAsa KILA kitu unampa bure yaani huduma zote bure Elimu, afya, usafiri, nk bure afanye Kazi Ili iweje hali anapata bure. Hapa ndipo tija iliposhuka. Mfumo sahihi kwa mwafrika ni usipofanya Kazi Hakuna kula, kama walivyofanya wakoloni, wao walimtengenezea mazingira yanayomlazimisha mwafrika kufanya Kazi mfano walijenga magala Kazi yako wewe ni kulima na kupeleka ghalani KISHA unapewa pesa pembejeo Bwana Shamba yupo bure, walijenga estates na viwanda wakawapa nyumba bure zenye huduma za Jamii bure mfano umeme, maji, afya shule wakawawekea na sehemu za starehe yaani unafanya Kazi unalipwa pesa sababu unapenda starehe unaenda kupata starehe kwenye bar za wakoloni Ili upate starehe ni lazima ufanye Kazi upate pesa.
Thus ujamaa ukafeli.
Kinachotakiwa ni serikali kutengeneza mazingira wezeshi Ili vijana wazalishe mali.
 
Kama Uzi ungekua na chuki sidhani kama moderator wangeruhusu uendelee kuwepo, kama unajua kusoma hakuna sehemu yeyote Ile Kuna lugha ya chuki au ubaguzi kwenye uzi
Nimetoa maoni yangu kwa mtazamo wangu hakuna mahali nimekushutumu kwa lolote,sipo humu kwa ajili ya kumfurahisha mtu.
 
Watu kujenga wanaona ni utajiri, kuna don mmoja hapa mbeya kahamia kwenye nyumba yake hivi majuzi tu, ameanza kua tajiri miaka ya 2000 lakini mpaka hiyo majuzi hakua na nyumba alikua kapanga tu.

Ukiwa unafanya biashara kujenga ni hasara tu. Labda waajiriwa ambao pesa yao wengi wao ni ile ile mwish mwezi bila kutegemea juhudi binafsi.
Mfanyabiashara akiongeza mtaji na faida inaongezeka, so hupigana aongeze mtaji na kupunguza matumizi zaidi na zaidi.
 
Mwalimu alikuwa mzuri kwenye siasa na sio kwenye uchumi aliproof failure.
Hata hazina aliyotumiwa ni ile aliyoachiwa na wakoloni na ndizo alizotumia kwenye ukombozi wa nchi za kiafrika.
 
Mkuu mhindi awekezi chochote Tanzania akipata sana sana atanunua nyumba Dubai huku ni pa kuchumia tu
 
Wameajiri watu Ila wanawalipa starvation wages ulishawahi kufanya kazi kwa mhindi uone kero yake

Alafu jaribu ukafanye kazi kwa mzungu utaona utofauti Mkubwa sana
 
Elon musk zile nyumba zake alizoziuza California baada ya kuhamia Texas usipende kuongea vitu ambavyo huvijui

Hao wahindi ambao unawaona hawana nyumba Tanzania wanamiliki nyumba uko dubai, ukienda London wanamiliki nyumba same kwa u.s na canada
 
Elon musk zile nyumba zake alizoziuza California baada ya kuhamia Texas usipende kuongea vitu ambavyo huvijui

Hao wahindi ambao unawaona hawana nyumba Tanzania wanamiliki nyumba uko dubai
Unaelewa nn nimeandika au kukurupuka hakai kweny nyumba yake elewa mwenyewe alishawai kusema sasa kama kaziuza ndo kashauza hana umiliki wake mpaka sasa hana umiliki.

Nikakupa mfano diamond na harmonize wanazo nyumba ila wamepanga .we nyumba unaona kitu cha ajabu sijui sio kijijini hapa.
 
Nyumba ni mfano mdogo point ni kwamba hakuna uwekezaji wowote wanaofanya hapa Tanzania Zaid ya kuchuma, Kuna utofauti Mkubwa sana kati ya mhindi na mzungu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…