Captain 666
JF-Expert Member
- Nov 5, 2021
- 660
- 1,236
5.2 hyo Sensa ya ukoo wenu auWote tukae posta au kariakoo patatosha kweli mbona unafikra mfu hivyo, sensa ya mwaka Jana inasema tuko million 5.2 kwa hiyo wote tukakae posta na kariakoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
5.2 hyo Sensa ya ukoo wenu auWote tukae posta au kariakoo patatosha kweli mbona unafikra mfu hivyo, sensa ya mwaka Jana inasema tuko million 5.2 kwa hiyo wote tukakae posta na kariakoo
Once your star you will be star forever, Wahindi waliofukuzwa east africa Uganda na Tanzania wengi waliondoka masikini mikono mitupu wakaenda pata hifadhi Canada, UK na USA huku wakiacha mali zao, leo ni matajiri nchi hizo. Nilikutana na mhindi mmoja alishukuru kufukuzwa east africa akiwa hana kitu leo ni tajiri
Mkubwa tu canada.
Hakuna sehemu niliposema wafukuzweIdd Amin aliwafukuza Wahindi,je nini kilitokea Uganda?
Wahindi wengi walihamia Uingereza na Canada na huko wakawa vizuri tu kiuchumi,
Utajiri au kufanikiwa ni mind set yako tu,nidhamu na mipango endelevu,utajiri au mafanikio hayaji kwa kumchukia aliyekuzidi bali unatakiwa kujifunza kupitia kwao.
Mkuu mim sijafundishwa matusi kwa hiyo as long sikujui siwezi kukutukana wewe na ukoo wako, kwa sababu nikikutukana ntajiweka kundi moja la moja la wajinga na wapumbavu kama wewe5.2 hyo Sensa ya ukoo wenu au
Huyo achana nane tu..hata sensa tu inayosema idadi ya wakazi wa jiji la DSM ni 5.something bado hajui... NonSense kabisaMkuu mim sijafundishwa matusi kwa hiyo as long sikujui siwezi kukutukana wewe na ukoo wako, kwa sababu nikikutukana ntajiweka kundi moja la moja la wajinga na wapumbavu kama wewe
Wahindi kule u.k, u.s, Canada au Australia hawaishi kama passenger kama wanavyoishi Tanzania wako full integrated lazima utofautishe hiki kituHata PM wa U.K Rishi familia yake ilitoka East Africa baada ya stagling familia za kihindi zilizopata baada ya Uhuru. Leo hii ni mtu mwengine kabisa.
Watanzania ambao ni passenger hata kiswahili hawajui, mim sipingani wao kutumia fulsa, nachopinga ni serekali kuendelea kuwakumbatia Leo hii viwanda vingi hadi zile kazi mtanzania anaweza fanya anachukuliwa mhindi kutoka India ni hatari sana uchumi wako kushikiliwa na watu ambao ni passenger a.k.a wapitajiWatu wanaropoka tu hata awaelewi historia ya kuingia Wahindi na waarabu tanganyika hawa watu wakienda kwenye asili yao wanalipa viza awaruhusiwi kuingia bure KISHA walitokea huko. Hawa ni watanzania wanamiliki passport za Tanzania. Walianza ujasiliamali miaka 300 iliyopita. Walikuja east africa wamekuta fursa wamezitumia
Umetoka familia masikini umepata Kazi unaanza kujenga badala ya kuwekeza, then Wahindi wakikupiga gap unalalamika. Shida sio Nyerere bali ni mind set zetu.
Umetoka familia masikini umepata Kazi unaanza kujenga badala ya kuwekeza, then Wahindi wakikupiga gap unalalamika. Shida sio Nyerere bali ni mind set zetu.
Mwenye pesa ana nguvuWatanzania ambao ni passenger hata kiswahili hawajui, mim sipingani wao kutumia fulsa, nachopinga ni serekali kuendelea kuwakumbatia Leo hii viwanda vingi hadi zile kazi mtanzania anaweza fanya anachukuliwa mhindi kutoka India ni hatari sana uchumi wako kushikiliwa na watu ambao ni passenger a.k.a wapitaji
Nyerere alijua siasa hakujua uchumi.
Kambona alikuwa sahihi.Kosa lake kubwa ni kuswitch uchumi kutoka mfumo wa kikoloni na kupeleka kwenye mfumo wa ujamaa wa China pasipo kuzijua tabia za waswahili au watz. Uchumi wa pamoja unafaa kwa zile Jamii ambazo tayari ni high matured.
Kiasili mwafrika ni mvivu na apendi Kazi thus mkoloni alitumia vitu kama nguvu, kodi, starehe, anasa Ili kumforce mwafrika afanye kazi. SAsa KILA kitu unampa bure yaani huduma zote bure Elimu, afya, usafiri, nk bure afanye Kazi Ili iweje hali anapata bure. Hapa ndipo tija iliposhuka. Mfumo sahihi kwa mwafrika ni usipofanya Kazi Hakuna kula, kama walivyofanya wakoloni, wao walimtengenezea mazingira yanayomlazimisha mwafrika kufanya Kazi mfano walijenga magala Kazi yako wewe ni kulima na kupeleka ghalani KISHA unapewa pesa pembejeo Bwana Shamba yupo bure, walijenga estates na viwanda wakawapa nyumba bure zenye huduma za Jamii bure mfano umeme, maji, afya shule wakawawekea na sehemu za starehe yaani unafanya Kazi unalipwa pesa sababu unapenda starehe unaenda kupata starehe kwenye bar za wakoloni Ili upate starehe ni lazima ufanye Kazi upate pesa.
Thus ujamaa ukafeli.
Kinachotakiwa ni serikali kutengeneza mazingira wezeshi Ili vijana wazalishe mali.
Wahindi kule u.k, u.s, Canada au Australia hawaishi kama passenger kama wanavyoishi Tanzania wako full integrated lazima utofautishe hiki kitu
Waliofukuzwa Tanganyika mmoja mjukuu amekuwa waziri mkuu UkOnce your star you will be star forever, Wahindi waliofukuzwa east africa Uganda na Tanzania wengi waliondoka masikini mikono mitupu wakaenda pata hifadhi Canada, UK na USA huku wakiacha mali zao, leo ni matajiri nchi hizo. Nilikutana na mhindi mmoja alishukuru kufukuzwa east africa akiwa hana kitu leo ni tajiri
Mkubwa tu canada.
Alafu wakija TRA wanakwambia mbona ofisi na makazi pamoja ukiwaelimisha wanasema unawazarauOfisi ipo kariakoo ukajenge bunju au boko masaa 6 kwa siku upo barabarani una akili kweli.
Wao wanakaa juu ofisi ipo chini. Ishu ya security, ishu ya time management, ishu ya economy kuokoa gharama
What is passenger please educate usWahindi kule u.k, u.s, Canada au Australia hawaishi kama passenger kama wanavyoishi Tanzania wako full integrated lazima utofautishe hiki kitu
Hii kitu umeandika sijui unataka kutuelimisha vipi nia ya kutoa mawaidha hapa ni kuelimishana na kufunguana macho na masikio ili tusije kupata watawala madikteta na majizi yanayotuambia kuwa Tanzania kuna makabila tafauti ili watudanganye wakati tunapigana wao wanatuibia.Moderator naomba usifute huu Uzi sina Nia yeyote Ile ya kuwaponda au kueneza chuki dhid ya wahindi au jamii ya Asia naongea uhalisia na ukweli ambao kila mtu ana uona
Kipindi Cha azimio la Arusha wazungu wengi walifukuzwa Ila Cha ajabu wakabaki wahindi Leo hii wahindi na wakifuatiwa na warabu ndo wamekamata biashara kubwa na Wana ukwasi Mkubwa
Maajabu ya mhindi/mharabu hata nyumba ajengi Yuko tayari kuishi kwenye nyumba za NHC au kupanga kule kariakoo au upanga na kamwe hawez fanya uwekezaji wa maana hapa Tanzania
Kwa lugha nyingine hakuna faida yeyote ile nchi inayopata kutoka kwa hawa watu yaan wanatumia Tanzania kama shamba la bibi, mhindi au mharabu hata azaliwe Tanzania ataishi kama passenger kwa maisha yake yote
Suluhisho nchi isiwape tender mtu ambaye ni passenger sababu faida yeyote Ile anayoipata anaipeleka abroad hafanyi uwekezaji wowote ule, wapewe tu kama hakuna option
Sio wote tunafanyakazi posta au kariakoo...point kila mtu aangalie urahisi wa kwenda kazini, usalama, matumizi ya muda n.kWote tukae posta au kariakoo patatosha kweli mbona unafikra mfu hivyo, sensa ya mwaka Jana inasema tuko million 5.2 kwa hiyo wote tukakae posta na kariakoo
umeambiwa kama mfano, haimaanishi una mini market yako Bunju ukakae kariakoo, Jamaa amemaanisha kaa karibu na mishe mishe zako, usipoteze muda barabarabi na foleni hizi,Wote tukae posta au kariakoo patatosha kweli mbona unafikra mfu hivyo, sensa ya mwaka Jana inasema tuko million 5.2 kwa hiyo wote tukakae posta na kariakoo
hivi mkuu MO, Zakaria, Bakhresa, Gsm etc hawana uwekezaji wowote? hebu fikira hata kidogoNyumba ni mfano mdogo point ni kwamba hakuna uwekezaji wowote wanaofanya hapa Tanzania Zaid ya kuchuma, Kuna utofauti Mkubwa sana kati ya mhindi na mzungu,