Nyerere alikosea sana alipokumbatia wahindi/warabu na kuwafukuza wazungu

Kama huna experience una weka wataalamu wa kukushauri na sio waganga wa kienyeji
 
Wewe hufai hata kujiita mtanzania maana hata hiyo historia ya nchi yako huijui wala huna hamu ya kutaka kujua. Unalojua wewe ni ubaguzi wa rangi tu. Hivi hata huwezi kufikiria kuwa zile nyumba za maeneo ya Upanga ni za wahindi kiasili?

Nyerere hakubagua watu lakini ni sisi wenyewe wabantu tusiokuwa na uwezo wala ujuzi wa kuendeleza biashara ndiyo tumekwama hapa tulipo mpaka leo hii. Tumeshindwa nini kuendeleza kilimo na sisi tukawa wakulima wakubwa kama wenzetu Kenya? Idi Amini wa Uganda aliwapora wahindi biashara na viwanda na kuwapa Waafrika na matokeo yake uchumi ulianguka na hakukuwa na lolote lililofanyika.

Nyinyi kaeni na roho zenu mbaya hamutaendelea maana kila siku munawaza kurudisha nyuma wengine kimaendeleo badala ya kufikiria jinsi ya kujikwamua wewe mwenyewe ukasonga mbele.
 
Hili ni kosa zito mno Hayati Nyerere alilolifanya. Kuiga sera za kikomunisti na ujamaa ndo kama aliua nchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…