Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 7,093
- 10,469
Rais alikuwa ni Kikwete na alishutumiwa kwa tukio lile!!
Kwa hiyo alikuwa mtekaji na muuaji pia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais alikuwa ni Kikwete na alishutumiwa kwa tukio lile!!
Kwanza unajua ni kwa nini Hitler aliitwa Muuaji? Au unadhani wale wanaoshitakiwa kwa mauaji ya kimbari Rwanda wote walishika mapanga na kuua watu?Kwa hiyo alikuwa muuaji pia?
Kwanza unajua ni kwa nini Hitler aliitwa Muuaji? Au unadhani wale wanaoshitakiwa kwa mauaji ya kimbari Rwanda wote walishika mapanga na kuua watu?
Jua kwanza kanuni za mchezo.
Si nimekwambia naye alishutumiwa kwa utekwaji wa Ulimboka. Au ulitaka nisema uuaji wakati Ulimboka hakuuawa!!??Sasa Hitler anaingiaje hapa wakati nimekuuliza la moja kwa moja lenye jibu ndiyo/hapana?
Sera za kimaskini na kufilisi watu kwa chuki binafsi? RubbishAlikua na kosa gani kuamua kua mjamaa.zote ni sera na zimeshatumika mataifa mengine zikafanya kazi.Nyerere kwa miaka hiyo aliona ndo mrengo unaofaa kwa mtazamo wake.Basi tuseme nyerere alikosea je mbona waliofuata hadi sasa hatujui ata tuko mrengo gani.Kama bado tuko kwenye ujamaa basi nyerere alikua sahihi kwasababu tulipaswa tujue kama tumeachana na ujamaa na tuko mrengo fulani ila ni kimya kimya tu uku kaubepari uku hatueleweki.Wengine wako azimio la arusha wengine ubepari yaan bora miaka inaenda.Nyerere alifanya makosa yake lakini je waliofuata waliyarekebisha vip ili nchi iwe kwenye msingi sahihi.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Si nimekwambia naye alishutumiwa kwa utekwaji wa Ulimboka. Au ulitaka nisema uuaji wakati Ulimboka hakuuawa!!??
Wewe lunatic kichaa mkubws lijinga la nchi nzima mbwa kazk kudharau wanawake utazani umejizaa mwenyewe halafu unamadharau kama unayo hata akili wala hujitambui mjinga mmoja tu uliyekosa nguvu za kiume usituletee shida zako mkosi weweUjinga Tu kuwa mwanamke ndio exception