Liuaji la historia isiyofutika tanzania1. Magufuli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Liuaji la historia isiyofutika tanzania1. Magufuli
Tumezika Chato, wee ndio utaumia maisha yako yoteKama imeuma chomoa
Liuaji la historia isiyofutika tanzania
Relativity as put by Einstein does not hold water when it comes to death, either you are dead or alive. There is no intermediate stage! Huyu aliua watu, basi hakuna relativity hapo. Hakuna anayetaka kuuawa. Beauty is relative, unaweza kuingiza concept ya relativity ikakubalika!Everything is relative in life!
Kwa nini huwa wanatetea mtesaji wa watu na kuona kwamba walioteswa wakati ule walistahili!!??Relativity as put by Einstein does not hold water when it comes to death, either you are dead or alive. There is no intermediate stage! Huyu aliua watu, basi hakuna relativity hapo. Hakuna anayetaka kuuawa. Beauty is relative, unaweza kuingiza concept ya relativity ikakubalika!
Mkuu,aliye bora ni mimi tu ninayeitunza familia yangu kwa akili zangu.Nisamehe mnyakwetu.Kwa vyovyote vile hakuna duniani mtu mwenye uwezo wa kurekebisha Historia. Kwa ivo hawa ndiyo walikuwa marais wetu na Samia ndiye Rais wa Tanzania kwa sasa.
Kwa mtazamo wako hawa ukiwaweka kwenye mizani yupi amekuwa Rais bora kwako na kwa nini ukiangalia changamoto alizokabiliana nazo na jinsi alivyozitatua na unadhani kwamba amecha alama (Legacy) gani kwa watanzania wote.
Usijali. CCM ndiyo imetufikisha hapo!!Mkuu,aliye bora ni mimi tu ninayeitunza familia yangu kwa akili zangu.Nisamehe mnyakwetu.
Relativity as put by Einstein does not hold water when it comes to death, either you are dead or alive. There is no intermediate stage! Huyu aliua watu, basi hakuna relativity hapo. Hakuna anayetaka kuuawa. Beauty is relative, unaweza kuingiza concept ya relativity ikakubalika!
Sasa Nyerere anahusika vipi na kuuawa kwa Klerruu?? Na hao "wengine wengi" hawana majina? Ndiyo kina nani??ukianzia Nyerere walikuwa kila Kleruu
Sasa Nyerere anahusika vipi na kuuawa kwa Klerruu??
very strange! hakuna aliyestahili kuteswa, kuuawa bila kupelekwa mahakamani! watu wapumbavu sana hawa! Hakuna relativity hapo hata kidogo.Kwa nini huwa wanatetea mtesaji wa watu na kuona kwamba walioteswa wakati ule walistahili!!??
1. Theory of relativity its founding scientist ni Albert Einstein!Mwinyi ambapo watu hawakufa wakati wa Utawala wake, ukianzia Nyerere walikufa kila Kleruu na wengine wengi, Mkapa mauaji ya Mwembechai na Pemba hata General Kombe alipigwa risasi live na Polisi lkn aliyekuwa raisi hakuwa Magufuli, Kikwete yule Mwandishi wa Habari Mwangosi nafikiri aliitwa aliyeuliwa na Polisi cold blood Iringa na wengineo wengi tu achilia mbali Kiongozi wa madaktari aliyetekwa na kuteswa vibaya lkn wewe unaona waliokufa wakati wa Utawala wa Magufuli tu ndiyo maana nikasema kila kitu ni relative au inategemea na jinsi unavyoona, …
Aisee. Kweli inaonesha kwamba hujui hata ilikuwaje Kleruu aliuawa. Sasa unaweza kusema enzi za Mwalimu mambo ya kupotea watu kama ilivyotokea kwa Simon Kanguye aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Kibondo, Azor Gwanda ama Ben Saanane ambaye Kabudi alisema aliuawa yalikuwepo??Kwani Magufuli anahusika vipi na hayo mauaji mnayoyasema?
1. Theory of relativity its founding scientist ni Albert Einstein!
2. 'Two wrongs don't make a right', ie you should not do harm to a person who has done harm to you, even if you think that person deserves it. or A second misdeed or mistake does not cancel the first or it is not acceptable to do something bad to someone just because they did something bad to you first (c&p)
hao uliowataja kuwa waliua hakumfanyi Jiwe kutoitwa Muuaji! hata hivyo degree ya uuaji wa Jiwe haiwezi kuilinganisha na hao ingawa wote ni mashetani kuwa waliua binadamu!
Aisee. Kweli inaonesha kwamba hujui hata ilikuwaje Kleruu aliuawa. Sasa unaweza kusema enzi za Mwalimu mambo ya kupotea watu kama ilivyotokea kwa Simon Kanguye aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Kibondo, Azor Gwanda ama Ben Saanane ambaye Kabudi alisema aliuawa yalikuwepo??