Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dola 200M?Kwenye harakati za kutumia remote control huku na huku nikaifikia channel ya Clouds nikakutana na tamasha huyu nabii huko viwanja vya leaders Club Dar.
Watu wanapokea miamala ya miujiza kwenye simu zao mmoja apa kapokea 43,000/= mmoja ndo kanikata asee yeye kapokea dola 200M etc
Anachosema huyu Nabii kwamba hizo pesa wanazopokea zimetokana na pesa zinapotea baharini, yeye anazitoa huko anawapa hawa waumini kama muamala, pesa zingine kashika anazigawa ovyo.
😃😃😃😃Wale wanaotaka kuthibitisha kwamba hawa wachungaji ni waongo/wapigaji watazame hichi kipindi……mtu anaombewa anadondoka kashikilia kipochi chakee…🤣😅
Wewe wasema lakn kwa huyu nabii ni swala la chapuu tuDola 200M?
Haiwezekani
Ila zngne inawezekana au sio?!Dola 200M?
Haiwezekani
Sasa huu uzi kosa lake liko wapi, em nenda kwanza leaders ukale muamalaRubish kabisaa
Watu mmeweka kijiwe hapa mnajadili habari zakufikirika....
Mods pigeni bani huu uzi na watu wake wote wanaoamini huu upuuzi kwa ukosefu wa afya ya akili,
Empty Set kabisa.
Yn uanguke halafu uachie kipochi chenye simu yenye muamala kutoka kwa nabii 😂 hy haiwezekaniWale wanaotaka kuthibitisha kwamba hawa wachungaji ni waongo/wapigaji watazame hichi kipindi……mtu anaombewa anadondoka kashikilia kipochi chakee…🤣😅
Bila kusahau wale wa nyuma kabsa…waimbaji na wahudumu mbona hawareceive miracles, au ndo wafanyakazi na ndugu zao wa karibu hawaruhusiwi kushiriki mchezo huu.
🤣🤣🤣🙌Bila kusahau wale wa nyuma kabsa…
Ndio Mkuu,baharini kuna pesa nyng mzee,kuzitoa kule mpk kwny miamala ya watu sio rahisiKwamba nabii anagawa hela zilizopotea baharini🤣🤣🤣🤣🤣
Ila kunae namna hawa jamaa mikeka yao huwa wanashindwa kuisuka fresh,kila wanaopokea wanakuaga mbele kabsa karibu na camera zaowaimbaji na wahudumu mbona hawareceive miracles, au ndo wafanyakazi na ndugu zao wa karibu hawaruhusiwi kushiriki mchezo huu.