Nyie wanawake mnadhani sisi wanaume pesa tunaokota? Huyu mwanamke kwa siku 1 ananipigia zaidi ya mara 30 sipokei simu yake

Nyie wanawake mnadhani sisi wanaume pesa tunaokota? Huyu mwanamke kwa siku 1 ananipigia zaidi ya mara 30 sipokei simu yake

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Hi!

Niliwahi kuleta Uzi nikasema wanawake maskini hasa wa mjini hawana mapenzi ya dhati kwa wanaume wapenzi wao.

Wengi ni kama wapo na wanaume ili watatue shida zao za kiuchumi. Watakuigizia kukuita baby mara dear ili ujisikie unapendwa lakini kwa kweli ukifulia au yeye akipata mwanaume mshamba anayetoa pesa zaidi umekwisha. Huyu demu ananipigia zaidi ya mara 30 ili tu nimtumie pesa apunguze shida zake.

Ni kweli shida anayo na nilimwona kweli mhitaji lakini mtu anashindwa kujiongeza kuwa si lazima umsaidie siku uliyopanga maana kila mtu ana shida zake na huwezi kutatua kwa wakati kila shida.

Hata mama yangu tu nikimwahidi jambo hawezi kunisumbua hivi. Kwa style hii sehemu zao za siri zitapata taabu sana.

Je, ningemwahidi milioni moja si angedadisi mpaka nyumbani kwangu aje aidai, maana hii ni ahadi hewa ya laki moja tu kafanya hivi.
 
Hi!
Niliwahi kuleta Uzi nikasema wanawake maskini hasa wa mjini hawana mapenzi ya dhati kwa wanaume wapenzi wao.
Wengi ni kama wapo na wanaume ili watatue shida zao za kiuchumi. Watakuigizia kukuita baby mara dear ili ujisikie unapendwa lakini kwa kweli ukifulia au yeye akipata mwanaume mshamba anayetoa pesa zaidi umekwisha.
Huyu demu ananipigia zaidi ya mara 30 ili tu nimtumie pesa apunguze shida zake.
Ni kweli shida anayo na nilimwona kweli mhitaji lakini mtu anashindwa kujiongeza kuwa si lazima umsaidie siku uliyopanga maana kila mtu ana shida zake na huwezi kutatua kwa wakati kila shida.
Hata mama yangu tu nikimwahidi jambo hawezi kunisumbua hivi .
Kwa style hii sehemu zao za siri zitapata taabu sana.
Je, ningemwahidi milioni moja si angedadisi mpaka nyumbani kwangu aje aidai, maana hii ni ahadi hewa ya laki moja tu kafanya hivi.
Hawawezi kutaka fedha kama hujaomba huduma believe me tumia njia mbadala uone kama utaombwa fedha na yeyote
 
ahadi za umalaya
Umepiga hatua mkuu unatongoza hadi malaya na yeye kahakikisha umejaa kwenye 18 zake, sasa unaijua akili ya Malaya mda wote inawaza nini? Akili ya Malaya muda wote inawaza Pesa Pesa Pesa Pesa Pesa sio kutombeka kutombeka kutombeka kutombeka, wewe umekuja na akili za kumtomba yeye akaja na akili za kukupiga pesa tit for tat, toa pesa umvue chupi hutaki mchane ukweli

JamiiForums
Where we dare to talk Openly

No Ban
 
Mademu siku izi ni kisanga, unakuta anakwambia ajala asubuhi, mchana na jioni we ndo uumpe hela ya chakuka afu anaishi kwao
Mmoja baada ya kumblock mwezi mzima kwa kila namba mpya leo kaniotea saa kumi na moja alfajiri.
Sijui ingekuwa vipi ningekuwa nimelala home.
Nimemchana aache upumbavu kaniomba msamaha kasema ni shida za maisha ndo zilimchanganya.
Mpaka nimemwonea huruma.
Tamtumia kidogo ila sitaki mapenzi naye
😭😭😭😭
 
Mmoja baada ya kumblock mwezi mzima kwa kila namba mpya leo kaniotea saa kumi na moja alfajiri.
Sijui ingekuwa vipi ningekuwa nimelala home.
Nimemchana aache upumbavu kaniomba msamaha kasema ni shida za maisha ndo zilimchanganya.
Mpaka nimemwonea huruma.
Tamtumia kidogo ila sitaki mapenzi naye
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kaona leo mwisho wa mwezi lazima kieleweki.
 
Mkuu Unaanzaje kumuahdi malaya hela ya tofali 700..halafu kirahisi tu
Basi sawa, jamaa hana laki moja
IMG-20221029-WA0104.jpg
 
Back
Top Bottom