Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
No kuwa single mother hakuhusiani kabisa. Kwahiyo unadhani singo maza hawatamani ndoa? 😁nimekupata mkuu, huwezi amini ningeweza kufikiri only ambao wamekuwa single mothers ndio wasiotamani ndoa.
nimehisi ni kama watu walioshakata tamaa ya kupata ndoa kutokana na yanayoelezwa kuhusu single mothers kupasha kiporo. Yaani wanaume weingi hawapendi kuoa single mothersNo kuwa single mother hakuhusiani kabisa. Kwahiyo unadhani singo maza hawatamani ndoa? 😁
Tabia inahusika sana ila ndoa ni bahati kuna baadhi ya watu hawana bahati hiyo. Ni mawazo yangu lakinialafu unajua mkuu Half american chance ya wanawake kuolewa imepungua sana. kwasababu ya vitu kadhaa, mfano population ya wanawake ni kubwa, asilimia kubwa kuwa na tabia mbaya. n.k
Upo sawa mkuu, kuolewa kwa mwanamke pia ni jambo la bahati pia. Ila tabia ya mtu ina mchango mkubwa kwake wa kuolewa au kutoolewa.Tabia inahusika sana ila ndoa ni bahati kuna baadhi ya watu hawana bahati hiyo. Ni mawazo yangu lakini
Wengi hawapendi ila wanaolewa hivyo hivyo. Kuna muda ni kutake risk tu maana huyo unaeanza nae bila bila anaweza kuwa na maex zaidi ya 10 na wote anawapa huduma.nimehisi ni kama watu walioshakata tamaa ya kupata ndoa kutokana na yanayoelezwa kuhusu single mothers kupasha kiporo. Yaani wanaume weingi hawapendi kuoa single mothers
Hawa viumbe usije ukamuamini kisa ww kakuuzia bei kubwa wapo wahuni wanamega hao hao malaya pro bure madem bhana wapo tofaut na ufikiriavyo najua utajitetea ili uonekane unakula pasafi ila ukijua akili za mwanamke basi hutapoteza mkwanja kisa utelezi10k unashea na wengi sana
Kwa hizo price unaweza kukuta hata uko peke yako, mkiwa wengi maximum ni watano sababu sio kila mtu ataafford na ukiangalia pisi inakua haijulikana kama inauza, less competition!
Tabia na bahati, kuna wanawake ni wife material kabisa kitabia ila bahati hiyo ya kuolewa hawana, To yeye nisaidie kwenye hili kama nnawaza vibayaUpo sawa mkuu, kuolewa kwa mwanamke pia ni jambo la bahati pia. Ila tabia ya mtu ina mchango mkubwa kwake wa kuolewa au kutoolewa.
naamini wapo mkuu, unakuta bahati tu haikumdondokeaTabia na bahati, kuna wanawake ni wife material kabisa kitabia ila bahati hiyo ya kuolewa hawana, To yeye nisaidie kwenye hili kama nnawaza vibaya
Ndio hivyo mkuunaamini wapo mkuu, unakuta bahati tu haikumdondokea
Kumbe umepost kujifariji?Af naona kama zimeanza kufanya kazi vile, sababu ujue sijawah take serious kabisa. Ila leo kuna mambo kaniambia asbh na mchana bado yanazunguka kichwani ndo maana nikaona hadi nipost uzi hapa labda yataondoka
na kwa faida ya wote mkuu Half american , kwa upande wa mwanaume ni umri gani mwanaume anakuwa amechelewa kuoa? ingawa tunajua mwanaume ndio mwenye uamuzi wa kuoa au kutokuoa, na pia kuna msemo unaosema mwanaume hazeeki.Ndio hivyo mkuu
Umemalizia vyema kabisa mwanaume hazeeki, wanaume wanaoa hata uzeeni.na kwa faida ya wote mkuu Half american , kwa upande wa mwanaume ni umri gani mwanaume anakuwa amechelewa kuoa? ingawa tunajua mwanaume ndio mwenye uamuzi wa kuoa au kutokuoa, na pia kuna msemo unaosema mwanaume hazeeki.
ni kweli ndio maana wanaume hawaonekani sana kwenye makanisa kwaajili ya kutafuta wenza.Umemalizia vyema kabisa mwanaume hazeeki, wanaume wanaoa hata uzeeni.
Boss wako kama namjua😅 mke wake ana matashtiti huko instagram kwanza mpe boss wako pole maana katengenezea shape vijana wamsaidie kazi. Anyway anaweza asiwe huyo pia😂 sema dah😂 mke wa mtu kwenda kuchonga shape dubai😂Hapana chief, mwanamke graph yake ipo opposite, kama hajitunzi in 30s basi anaanza kupoteza kila uzuri alokua nao.
Kama anajitunza basi bei ya kujitunza inakua kubwa sana.
Kuna boss wetu mmoja kampeleka mke wake dubai akakate utumbo, mke yupo kati ya 30 na 35 hivi.
Hujui kwa nini wanawake wengi wanamuonea wivu zari? Kumantain ule uzuri sio cheap, wengi hawawezi na ndo chanzo cha hate
Waowaji siku hizi ndio wanachama wa kataa ndoa kwahiyo kumpata mtu sahihi ni kipengeleMi binafsi nina bahati ya kuolewa ila Sina bahati ya kupata mwanaume sahihi mkuu
Yaan inaumiza sanaWaowaji siku hizi ndio wanachama wa kataa ndoa kwahiyo kumpata mtu sahihi ni kipengele
Humjui, na insta yake huyo mke haposti, ni kwa wenye whatsapp number yake tu ndo anajaza status balaaBoss wako kama namjua😅 mke wake ana matashtiti huko instagram kwanza mpe boss wako pole maana katengenezea shape vijana wamsaidie kazi. Anyway anaweza asiwe huyo pia😂 sema dah😂 mke wa mtu kwenda kuchonga shape dubai😂
Ndumba zishaanza kufanya kaziAf naona kama zimeanza kufanya kazi vile, sababu ujue sijawah take serious kabisa. Ila leo kuna mambo kaniambia asbh na mchana bado yanazunguka kichwani ndo maana nikaona hadi nipost uzi hapa labda yataondoka
Ni kwenda nayo hivyo hvyo tuYaan inaumiza sana