Nyie warembo, kwa nini huwa mnajiweka kwa bei ghali wakati uhalisia unajijua?

Wengi wazee huwa ni kifo cha mende tu, dakika 5 hoi ; unatakiwa upate mchaka mchaka ukifika miaka 60 uonekane kama una miaka 30
Weee wazee wa digitali unawajua??πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Vijana ndio hamna nguvuu bana akichoka ivoivo naenda nae aste asteee asije akapoteza uhai mzee wawatruπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!
 
Weee wazee wa digitali unawajua??πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Vijana ndio hamna nguvuu bana akichoka ivoivo naenda nae aste asteee asije akapoteza uhai mzee wawatruπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!
We utakuwa unamtapeli hela za kustaafu
 
ha ha basi utakuwa unaogopa pa pa pa
Zote hizo anipatiaa yani hakuna ambacho sipati pale michezo yotreee unayoijuaaaπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈπŸƒπŸΌβ€β™€οΈ!!
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€tatizo unanipiga saundi tu hapa
 
mjomba National Anthem mwenzio kule niko pinned kwa mieziii kadhaa!! Tag naiona ila kureply siruhisiwi! Bila shaka Bantu Lady na auntie sophy27 walikubless mjomba wangu 😘!

Samaleko βœ‹
πŸ₯²πŸ₯² ma mod wamekuwa kama monitor wa la nne D 🀣🀣🀣 hata sijui shangazi pole sanaa sasa hivi umekuwa kama mkwepu 🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…