Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 5,962
- 17,648
Ukimzidi anakufa oohMtetea hafi kwa utitiri mkuu 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukimzidi anakufa oohMtetea hafi kwa utitiri mkuu 🤣🤣
ArushaIko wapi hii mkuu?
Big up, ila skanka sio nzuri kwenye ubongo bora utumie ganja ya kawaidaNainjoy nikiwa geto na kitu Cha skanka uku bby akinywa Serengeti lite za motoo😋😋😋 ukuu tunasikilizaa ngomaa flani hv za mammtoni zenye utulivu wa Hali ya juu..View attachment 3263985
Weekend skanka ,cku zingine Cha Arusha mkuu 😂 na n mara Moja Moja c mwendelezo alooooBig up, ila skanka sio nzuri kwenye ubongo bora utumie ganja ya kawaida
Oooh! Sawa mkuuArusha
C zambiBaada ya sokwe wa mto msimbazi kukimbia. Niko zangu room najinywea zangu Castle Lite zangu za kopo, huku nasikiliza music miguu juu. My babe asisome hapa maana na Kwaresma yote hii mmmh!!!.
😁😁😁🙌pole shemu yupo humuBaada ya sokwe wa mto msimbazi kukimbia. Niko zangu room najinywea zangu Castle Lite zangu za kopo, huku nasikiliza music miguu juu. My babe asisome hapa maana na Kwaresma yote hii mmmh!!!.
🤒Baada ya sokwe wa mto msimbazi kukimbia. Niko zangu room najinywea zangu Castle Lite zangu za kopo, huku nasikiliza music miguu juu. My babe asisome hapa maana na Kwaresma yote hii mmmh!!!.
Fundi simu kasoma, ngoja nimpigie nimwambie kuna AC inazingua kwa simu yake na nimwambie na mengineyo (Bantu Lady) ya miguu juu tuwe even kwenye siri za muhimu 😂😂Baada ya sokwe wa mto msimbazi kukimbia. Niko zangu room najinywea zangu Castle Lite zangu za kopo, huku nasikiliza music miguu juu. My babe asisome hapa maana na Kwaresma yote hii mmmh!!!.
😁😁😁🙌nilishasahau umenikumbushaNimetoka kusoma mada yako uligonganisha ma-ex bar nashangaa tena nakukuta huku umeenda bar,basi nimewaza mbaali!View attachment 3263989
Niache leo ndiyo mara ya kwanza nakunywa hii bia. Sasa nisije ongea ya uvunguni bure. Naweza anza elezea hapa kitumbua kiko na mchoro upi bure 🤐Fundi simu kasoma, ngoja nimpigie nimwambie kuna AC inazingua kwa simu yake na nimwambie na mengineyo (Bantu Lady) ya miguu juu tuwe even kwenye siri za muhimu 😂😂
Upo mbezi gani umesema ?Oooh! Sawa mkuu
My best club nikiwa Arusha 😹Sogea pale picnic 😁
🤒My best club nikiwa Arusha 😹
Pako fresh hasa kwa sisi wanaumeMy best club nikiwa Arusha 😹