Nyie wenye ndoa, mliwezaje kufanya maamuzi mpaka mkaingia ndani ya ndoa?

Nyie wenye ndoa, mliwezaje kufanya maamuzi mpaka mkaingia ndani ya ndoa?

Tatizo ni wewe kulelewa na ndugu badala ya wazazi, sio kosa lako ila imekufanya kuwa muoga na pia kuwa na tamaa sana yaani huridhiki. Pole maisha hayako unavyofikiria.
Amen.

Ila kwa ki nature "Hakuna binadamu anaeridhika" ni vile tamaa zetu ziko location tofauti..!!!

#YNWA
 
Mkuu, kiuhalisia umeelezea mambo mengi na kwa kupitia uzi wako inaonyesha ni jinsi gani bado uwezo wako wa kupambanua mambo ulivyo.

Napata tabu kufahamu hata hizo investment ulianzaje maana hakuna investment isiyo na hasara, the risk is always there"

Na kuna watu naamini kabla ya kuanza hizo investment uliwafuata au kuwatazama kama ma role model na kati ya hao kuna ambao walifeli katika investment zao lakini bado ukaingia na ukaamini kutoboa kupitia huko.

Natamani kusema mengi lakini naona akili yako haipo katika kuangalia positivity na bado uchanganuzi wako ni wa kitoto.
"Age does not make you mature"

Cha kujifunza hapo ni:
1: usifanye maamuzi kupitia maneno ya watu.
2: surround only with quality people( tathmini marafiki zako)
3: Sali na omba sana kwa Mungu.

Be blessed.......
 
Mkuu, kiuhalisia umeelezea mambo mengi na kwa kupitia uzi wako inaonyesha ni jinsi gani bado uwezo wako wa kupambanua mambo ulivyo.

Napata tabu kufahamu hata hizo investment ulianzaje maana hakuna investment isiyo na hasara, the risk is always there"

Na kuna watu naamini kabla ya kuanza hizo investment uliwafuata au kuwatazama kama ma role model na kati ya hao kuna ambao walifeli katika investment zao lakini bado ukaingia na ukaamini kutoboa kupitia huko.

Natamani kusema mengi lakini naona akili yako haipo katika kuangalia positivity na bado uchanganuzi wako ni wa kitoto.
"Age does not make you mature"

Cha kujifunza hapo ni:
1: usifanye maamuzi kupitia maneno ya watu.
2: surround only with quality people( tathmini marafiki zako)
3: Sali na omba sana kwa Mungu.

Be blessed.......
Amen mwenye akili kubwa.

Nategemea kwa akili mingi ulizo nazo basi nitakuona kwenye milionea club ya biligate.
Naomba ukifika huko unitafutie connection AKILI KUBWA.

Ila pia hata wewe nakushauri kama ulivyonishauri..

Saraundi yuaselfu withi kwaliti pipo...

Quality people hawawezi jiona there so high than others mpaka kuwa dimish wenzao kuwa Hawana akili kwa kuwa na akili ndogo.

#YNWA
 
Amen.

Ila kwa ki nature "Hakuna binadamu anaeridhika" ni vile tamaa zetu ziko location tofauti..!!!

#YNWA
Umejijengea mentality mbaya mkuu, kuridhika ni tabia na kutoridhika ni tabia pia. Zote hizo kusababishwa na malezi amini nakwambia.

Kwa kuwa kuridhika ni tabia, chukua muda wako kujifunza. Muda unao coz ni kijana mdogo sana 31yrs bado una nafasi.
Tambua mtu asiyeridhika huwa limbukeni na ulimbukeni ni ushamba so mtu mwenye elimu kama wewe hupaswi kuwa hivyo.
 
Am currently passing through the same situation,Yaani watu hawana kitu cha zaidi kuongea na mimi zaidi ya kuniambia bado TU,unasubiri Nini,Umri unaenda huo and ama 30 now,aisee inakela sana.
Hawataki kujua malengo ya mtu na sababu gani inafanya iwe hivo.
Usipooa utaolewa, mwanaume unaogopa kuoa huna tofauti na pisi kali.
 
Umejijengea mentality mbaya mkuu, kuridhika ni tabia na kutoridhika ni tabia pia. Zote hizo kusababishwa na malezi amini nakwambia.

Kwa kuwa kuridhika ni tabia, chukua muda wako kujifunza. Muda unao coz ni kijana mdogo sana 31yrs bado una nafasi.
Tambua mtu asiyeridhika huwa limbukeni na ulimbukeni ni ushamba so mtu mwenye elimu kama wewe hupaswi kuwa hivyo.
According to economics...
In nature every human is mean, we always struggle to attain our satisfaction by maximizing our utility.

Ndio maana Dewji pamoja na utajiri wake wotee alionao aliona haitoshi akawekeza SIMBA FC.

Hakuna ulimbukeni wowote, sasa Dangote ni Tajiri wa Africa kwanini kawekeza Mtwara Tena?
Hela anazitafuta za nini?

#YNWA
 
Amen mwenye akili kubwa.

Nategemea kwa akili mingi ulizo nazo basi nitakuona kwenye milionea club ya biligate.
Naomba ukifika huko unitafutie connection AKILI KUBWA.

Ila pia hata wewe nakushauri kama ulivyonishauri..

Saraundi yuaselfu withi kwaliti pipo...

Quality people hawawezi jiona there so high than others mpaka kuwa dimish wenzao kuwa Hawana akili kwa kuwa na akili ndogo.

#YNWA
With respect mkuu

Ameen......
 
According to economics...
In nature every human is mean, we always struggle to attain our satisfaction by maximizing our utility.

Ndio maana Dewji pamoja na utajiri wake wotee alionao aliona haitoshi akawekeza SIMBA FC.

Hakuna ulimbukeni wowote, sasa Dangote ni Tajiri wa Africa kwanini kawekeza Mtwara Tena?
Hela anazitafuta za nini?

#YNWA
Pole sana kwa yanayokukuta mdogo angu.
Kumbe hujui maana ya kuridhika. Binadamu tumeumbwa kutafuta na ndio nature yetu ila kuridhika ni pale unapoona kwamba ulichonacho ndicho kinakustahili. Hata kama utatafuta zaidi hilo ni wewe lakini ulichonacho kinakuridhisha.

Nikupe mfano kuna wanasiasa watano wamegonbea nafasi moja ya ubunge. Mmoja akapata kura nyingi ambapo ndiye mshindi then wale wanne wakakosa ubunge na wanakiri kuwa wameshindwa uchaguzi na wameridhika na matokeo.

Kuridhika ni kutosheka na hali lakini kutafuta au kuhangaika na maisha ni nature hakuna mwisho.

Inaonekana una kasoro mahali thats why hata huyo mzazi mwenzio alikusaliti kirahisi tu tena mpaka na mchungaji hapo inaonesha alishakusaliti hata na majirani au bodaboda.

Badilika
 
Pole sana kwa yanayokukuta mdogo angu.
Kumbe hujui maana ya kuridhika. Binadamu tumeumbwa kutafuta na ndio nature yetu ila kuridhika ni pale unapoona kwamba ulichonacho ndicho kinakustahili. Hata kama utatafuta zaidi hilo ni wewe lakini ulichonacho kinakuridhisha.

Nikupe mfano kuna wanasiasa watano wamegonbea nafasi moja ya ubunge. Mmoja akapata kura nyingi ambapo ndiye mshindi then wale wanne wakakosa ubunge na wanakiri kuwa wameshindwa uchaguzi na wameridhika na matokeo.

Kuridhika ni kutosheka na hali lakini kutafuta au kuhangaika na maisha ni nature hakuna mwisho.

Inaonekana una kasoro mahali thats why hata huyo mzazi mwenzio alikusaliti kirahisi tu tena mpaka na mchungaji hapo inaonesha alishakusaliti hata na majirani au bodaboda.

Badilika
Duh your so NEGATIVITY BRO.
Naomba niishie hapa.

MUNGU akutibu.

Usisahau kesho kanisani.

#YNWA
 
Upeo wako bado ni mdogo kuchanganua mambo.

Wanawake wanataka mwanaume aliyepevuka kama mchungaji wako.
Wenye upeo mkubwa kumbe mko pessimism hivi...

Duh sikujua hilo, asante.

ONE LOVE MWENYE AKILI KUBWA
Mkeo ana bahati Sana kumpata broo kama wewe mwenye akili kubwa Ndio maana mkeo hawezi kuchepuka.

Sisi mafala ngoja tuendelee kutombewa na wachungaji.

#YNWA
 
Kimsingi bado hujafikia uanaume maliza kwanza uvulana utakapoufikia uanaume hutahitaji mtu wala jf ikushauri, utaingia mwenyewe🤔!
Kwahiyo kwasababu sijaoa basi sio mwanaume...

Unataka kuniambia wale wanaoana na kuachana ni kwamba wanaingia uanaume na kurudi uvulana?

Ngoja nikimbilie choo kujikagua labda nimeota mbunye ujue. Ndio maana sio mwanaume.

#YNWA
 
 
Back
Top Bottom