Nyie wenye ndoa, mliwezaje kufanya maamuzi mpaka mkaingia ndani ya ndoa?

Nyie wenye ndoa, mliwezaje kufanya maamuzi mpaka mkaingia ndani ya ndoa?

Oa mwanamke aliyekuzidi elimu na kipato ulelewe.
Hili wazo nilishawahi kuwa nalo...
Nitafute demu lenye Kazi yake au biashara zake, kifupi lenye hela.

Tulane kwa kipindi fulani halafu kila mtu achukue 50 zake.

Ila sasa kupatikana hayapatikani.

#YNWA
 
pesa unazotumia kuspend na wanawake wa mtaani zinatosha kuendesha familia hivo usiogope kuoa, kimbembe cha ndoa ni kumpata mtu sahihi.
 
Tafuta binamu umuoe, tafuta yule mkali halafu piga watoto kama fundi cherehani
 
Kwahiyo kwasababu sijaoa basi sio mwanaume...

Unataka kuniambia wale wanaoana na kuachana ni kwamba wanaingia uanaume na kurudi uvulana?

Ngoja nikimbilie choo kujikagua labda nimeota mbunye ujue. Ndio maana sio mwanaume.

#YNWA
Simaanishi hivyo, ww bado mvulana! Kuwa mwanaume ni mchakato dogo! Mvulana hana mbunye dogo, ila dish bado halisomi majukumu ya kiuanaume🤔! Ukiingia kwenye ndoa kivulana hivi utatusumbua na malalamiko yasiyoisha na uwezekano mkubwa ni kuvunjika kwa ndoa yenu!
 
Simaanishi hivyo, ww bado mvulana! Kuwa mwanaume ni mchakato dogo! Mvulana hana mbunye dogo, ila dish bado halisomi majukumu ya kiuanaume🤔! Ukiingia kwenye ndoa kivulana hivi utatusumbua na malalamiko yasiyoisha na uwezekano mkubwa ni kuvunjika kwa ndoa yenu!
Nimemuhubiria sana humu mkuu lakini anaelekea kuelewa plus maneno yako atanyooka
 
Uanume katika ulimwengu wa kidijitali haupimiwi kwa kuoa, Hicho kilikuwa kipimo enzi za ujima
Kimsingi bado hujafikia uanaume maliza kwanza uvulana utakapoufikia uanaume hutahitaji mtu wala jf ikushauri, utaingia mwenyewe[emoji848]!
 
Endelea ku invest tu kwanza utaoa mda ukifika wala hutatuuliza hapa mbona
 
Simaanishi hivyo, ww bado mvulana! Kuwa mwanaume ni mchakato dogo! Mvulana hana mbunye dogo, ila dish bado halisomi majukumu ya kiuanaume🤔! Ukiingia kwenye ndoa kivulana hivi utatusumbua na malalamiko yasiyoisha na uwezekano mkubwa ni kuvunjika kwa ndoa yenu!
Wanaovunja ndoa wotee ni wavulana?
Na wale wenye wake wanne (zaidi ya mmoja) Wana akili nyingi...

Wenzio Wana wake wengi na wewe ni mke mmoja tu, HUJIONI BWEGE?

#YNWA
 
Uanume katika ulimwengu wa kidijitali haupimiwi kwa kuoa, Hicho kilikuwa kipimo enzi za ujima
Basi uzae kidigitali kama inawezekana🤔! Uanaume ni uwezo wa kuhimili majukumu, hasa kummudu mwanamke! Mengine yote ni mbwembwe tu maana kama urais hata Samia anaumudu lakini siyo uanaume😜! Usiwe limbukeni wa mtandao/digital 😠!
 
Wanaovunja ndoa wotee ni wavulana?
Na wale wenye wake wanne (zaidi ya mmoja) Wana akili nyingi...

Wenzio Wana wake wengi na wewe ni mke mmoja tu, HUJIONI BWEGE?

#YNWA
Sielewi ni kipimo gani hicho ulichotumia hata kuanza kunitusi kienyeji hivyo!? Aliyekuambia mimi nina mke mmoja ni nani? Na aliyekuambia kuwa na mke mmoja ni ubwege ni nani!? Kuvunjika kwa ndoa kuna sababu nyingi, na sio lazima uwe mvulana ili ndoa ivunjike...mke anaweza uvumilia uvulana wako akailea ndoa! Pia Mwanaume anaweza akawa kwenye ndoa na msichana(badala ya mwananke) asiyeweza mudu prukshani za ndoa na hatimaye kuvunjika! Sababu zinazopelekea ndoa ivunjike ndio zinaweza toa dira ya kama uvulana ulihusika au usichana au vyote! Ndoa ya mwanaume na mwanamke haiwezi vunjika kirahisi dogo😜!
Ukipevuke kuwa mwanaume utakuja elewa kwa sasa tunachoshana tu🤔! Naposema ukikua simaanishi umri bali mabadiriko ya fikra na mtazamo...hii inaweza chukua muda mfupi au mrefu na inawezekana pia kubakia mvulana mpaka uzeeni😜!
 
Sielewi ni kipimo gani hicho ulichotumia hata kuanza kunitusi kienyeji hivyo!? Aliyekuambia mimi nina mke mmoja ni nani? Na aliyekuambia kuwa na mke mmoja ni ubwege ni nani!? Kuvunjika kwa ndoa kuna sababu nyingi, na sio lazima uwe mvulana ili ndoa ivunjike...mke anaweza uvumilia uvulana wako akailea ndoa! Pia Mwanaume anaweza akawa kwenye ndoa na msichana(badala ya mwananke) asiyeweza mudu prukshani za ndoa na hatimaye kuvunjika! Sababu zinazopelekea ndoa ivunjike ndio zinaweza toa dira ya kama uvulana ulihusika au usichana au vyote! Ndoa ya mwanaume na mwanamke haiwezi vunjika kirahisi dogo😜!
Ukipevuke kuwa mwanaume utakuja elewa kwa sasa tunachoshana tu🤔! Naposema ukikua simaanishi umri bali mabadiriko ya fikra na mtazamo...hii inaweza chukua muda mfupi au mrefu na inawezekana pia kubakia mvulana mpaka uzeeni😜!
Kwahiyo wanauvunja ndoa wakina Dangote na Bill gate ni wavulana Sana?

#YNWA
 
Back
Top Bottom