Akasankara
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 4,210
- 5,752
Wewe ni jinga sana. Leta mrejesho wa Gesi ya Mtwara. Huwenda ukawa Wakala wa shetani dada yake IbilisiWewe ndo huna akili,unakubali kuwa brainwashed na wanasiasa,wasiolitakia mema taifa hili,,sijui mtaficha wapi nyuso zenu pale bandari itakapoanza kufanya kazi Kwa ufanisi na watu kuona hayo mafanikio,,,😂,maana huo mkataba hautasinamishwa kwa Maneno ya mitandaoni Bali labda washindwe kuelewana kwenye mkataba unaofuata
Wewe faidi DP na uchapaji kazi waoNshamalizana nawe mkuu, ufaidi muungano.
Sina la zaidi la kukueleza kuhusu hili.
Watanganyika wameamua. Mungu ameweka maamuzi haya mioyoni mwa viongozi ili liwe chanzo Cha watanganyika kurudishiwa nchi yaoView attachment 2689204
Mwana JF hapo ulipo na familia yako mnaweza kuitikia huo wimbo. Hata kama ni bar mnakula bata ambia DJ apige song
kasome mkataba/makubaliano kati ya Serikali yetu na Dubai, mbona mkataba upo wazi sana na umeenea kila kona.Kwahiyo mmewapa bure? Jibu hapo kwanza
Mmewapa bure??kasome mkataba/makubaliano kati ya Serikali yetu na Dubai, mbona mkataba upo wazi sana na umeenea kila kona.
wewe unaye dai kuwa Bandari imeuzwa ndiye unatakiwa utuambie imeuzwa shilingi ngapi? kuanzia hapo nitakujibu.
Shujaa.
kwanza nenda uka jifunze maana ya neno "mkataba" ukisha ndio uje hapa tujadiliane.Mmewapa bure??