Nyinyi maskini wenzangu acheni kumsakama Diamond

Nyinyi maskini wenzangu acheni kumsakama Diamond

Unajuaje mimi maskini? Maskini wa nini? Wewe uza mfugo ili kesho ukajining'inize [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Unajua ni watu maskini wanaoamini hawako kamili mpaka wawe na mabilioni bank. Halafu sote tunaishia kula sawa karibu kila kitu, mpaka kunya. Tofauti ni moja tu...mwingine bikra mwingine hana bikra[emoji23][emoji23][emoji23].

Anatembea na majuto mjukuu. Hakai sawa tena mpaka alewe. Anaishi ili siku ziende na sio kufurahia maisha. That is the price poor people, who think by selling their souls to the devil will make them strong, pay. majuto majuto mpaka kaburini
Majuto hua ni kwa mafukara kama nyinyi [emoji23] hata milo mitatu hamuwez , hauna hela wewe mbwa njoo tutafute konekshen kama daimond tupige hela..umesikia we fukara
 
[emoji23] au sio..bora ukitoe tu kuliko kila siku unakibania kipitshe mavi ya kifukara na kujaza choo tu..
 
Mimi nawashangaa mno mnavyomkalia kooni msanii Daimond na kumdhihaki kwa kila namna kusema tu alifika kwa msanii paff dady

Mwacheni, umasikini mbaya nyie,, shida mkwanja uingie tu, au aliunganishwa kwenye chama cha siri cha giza, nyinyi masikin wenzangu inawauma nini

Nimejua bongo kweli kuna husda na chuki mbaya sana kwa matajiri

Kikubwa ni pesa tu, hayo mengine tuwaachie wenyewe
naona unatamani we ndo ungepakwa mafuta na Pdidy
 
Kina Burna boy wanazidi kufuta tweets zao wakiwa na P. Diddy


They didn't know their ugly things, done in secrecy mighty one day surface. Kwa mila za kiafrika, hii sio issue ndogo. Inazingua sana
 
wewe utaendelea kufumuliwa na utajiri hutaupata n'goo
Tulia fukara wewe acha watu tutafute utajiri. Wewe unaefumua wwngjne umefanikisha nini kwenye maisha zaid ya najua wewe ni fukara tu hata unapata mda wa kuingia hapa na kujibizana na mimi.
 
Ila ni tajiri kwa sasa na mafukara mnamuonea wivu.

Nishindwe kumuonea Wivu Benjamin Fernandes(31 yrs)wa NALA aliyekataa Mshahara wa 450m kwa mwezi ndiyo nimuonee wivu Dayamondi(35 yrs) Mpakwa mafuta anayeingiza 250m kwa mwezi?

Kwenye circle yangu sina connection na Dayamondi hata kwa asilimia 0% ,so awe bilionea namba moja duniani au mpakwa mafuta wa diddy au nani hainiathiri hata chembe ila tunaongea tu Ukweli kwamba DAYAMONDI ALIPAKWA MAFUTA ,mbona Burna katulia tuli anakula tu matuzo ya grammy.
 
wewe inaelekea unaliwa KIBOGA!!!,,,so unaona KIBOGA mwenzako anasakamwa na wewe roho inakuuma!!
Wewe unaekula kiboga umefanikisha nini kwenye maisha zaid ya kua fukara tu had unapata mudawa kubishana na mim..njoo tuunganishe nguvu tutafute konekisheni tupate utajir
 
naona unatamani we ndo ungepakwa mafuta na Pdidy
Kinoma sana nataman sana ..utajir nje nje. Si unaona daimond alivyopaa kifedha na kimuziki alivyotoka kule, hadi ww na mafukara wenzako mnachukia na kutema nyongo..dawa ya hio ni kutafuta hela nakua tajiri
 
Mimi nafurahia mafanikio ya wadogo zetu Watanzania ila wapo ndugu zetu wao wanachukia sana mafanikio ya Wadogo watawapa sifa zote mbaya ili kufurahisha nafsi zao..
Mbona Konde hatumsemi vibaya? Mimi katika vijana naowakubali hustle zao ni KONDE ingawa si timu yake hata chembe ,kwa DAYAMAONDI tunamsema kwa tabia yake ya kuficha siri za diddy ,kapakwa mafuta Burna Boy ,kapakwa mafuta usher ,kapakwa mafuta wizzy kid ,kapakwa mafuta Meek Mills ,kapakwa mfuta Davido wametulia tuli ila tukisema kwamba DAYAMONDI kapakwa mafuta na diddy mnasema sisi ni hater tunamchukua kwa kuwa ni Bilionea ,sasa kati ya Burna na Dayamondi nani ana mkwanja mrefu?
 
Nishindwe kumuonea Wivu Benjamin Fernandes(31 yrs)wa NALA aliyekataa Mshahara wa 450m kwa mwezi ndiyo nimuonee wivu Dayamondi(35 yrs) Mpakwa mafuta anayeingiza 250m kwa mwezi?

Kwenye circle yangu sina connection na Dayamondi hata kwa asilimia 0% ,so awe bilionea namba moja duniani au mpakwa mafuta wa diddy au nani hainiathiri hata chembe ila tunaongea tu Ukweli kwamba DAYAMONDI ALIPAKWA MAFUTA ,mbona Burna katulia tuli anakula tu matuzo ya grammy.
wewe ambae hujapakwa mafuta unaingiza kias gani kwa mwezi..
 
Back
Top Bottom