Nyinyi mnaokula mchana kipindi hiki ni akina nani? Mnatukera bwana

kwahiyo toba ni mwezi huu tu, miezi mingine dhambi kama kawa. shetani mwongo sana, anajua sana kubambika watu dini za uongo.
 
💯% 🚮
 
Hii inadhihirisha ni kiasi gani uislam ni dini ya kulazimishana na vitisho...l
 

Isaya 1:14, Sikukuu zenu za mwezi mpya na karamu zenu zilizoamriwa, nafsi yangu yazichukia; mambo hayo yanilemea, nimechoka kuyachukua.
 
Funga yenu ni ya ajabu sana,mkifunga mnataka watu wote wafunge,mnasahau kuna imani nyingine wanawndelea na maisha yao........ukiamua kufunga hata jirani yako hatakiwi kujua ila funga ya Muslims ni kama kukomoana.......nimepita unguja leo utadhani nchi watu wamehama,hakuna kinachowndelea,mambo mengi yamesimama
 
Futari, chakula cha usiku, Daku. Njaa huwa tunatoa wapi? Mfungo usiwe wa mbwembwe hakuna la ajabu linalofanyika.
 
kwahiyo toba ni mwezi huu tu, miezi mingine dhambi kama kawa. shetani mwongo sana, anajua sana kubambika watu dini za uongo.
Jiepushe na dhambi za aina yote na mda wote kama wewe ni muumini wa dini yeyote
Hakuna haja ya kashfa kwani haikuongezei point
 

Kufunga kwako kusiwe kero kwetu
Wewe funga upate thawabu. sisi tulioamua kuishi maisha yetu bila kelele usitufanye kama watumwa wako bana.

Kama vipi hamia Zanzibar ambapo kila mtu analazimishwa kufunga hata kama siyo wa imani hiyo
Eti dini ya Mwenyezi Mungu... LAANA tupu hakuna dini hapa...
 

Attachments

  • Zanzibar.mp4
    3.4 MB
Usilazimishe kila mtu aamini unachoamini, kuna uhuru na haki ya kuabudu.
 
wewe unafturu public,watu wakila unataka wajifiche.unaona watu ni wavaa kobazi?
una akili wewe?
 
Jiepushe na dhambi za aina yote na mda wote kama wewe ni muumini wa dini yeyote
Hakuna haja ya kashfa kwani haikuongezei point
natamani ungefumbuka macho ukaona namna shetani alivyoleta imani za kishetani, watu wanafunga na kupoteza muda na pesa wakiamini wanamwabudu Mungu wa kweli, kumbe shetani amewapiga changa la macho. wengi wameokolewa kutoka huko, na kuwaambia ukweli kwamba wapo gizani ni muhimu, kwani tusipowaambia tusijedaiwa damu yao mikononi mwetu. Njia ya kumwabudu Mungu ni moja tu, kwa njia ya wokovu katika Yesu Kristo, njia zingine zoote ni za mashetani na wala usizifumbie macho.
 
Sasa kuona tu watu wanakula unaanza kupata tamaa ya vyakula na unakasirika hivi unaelewa hata maana ya kufunga? Huko kwenye daladala/mwendokasi mnavyojazana na unakuta wowowo linakugusa gusa kwenye mjegeje utaweza kuikwepa zinaa kweli? kama tu unatamani huo wali maharage umeona wanakula huko njiani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…