Nyoka mwenye uwezo wa kuua kwa sekunde 5 apatikana

A
Achana na hizo story nyingine zote ulizozielezea hapo.
Just chuku hiyo ya kugonga watu 250 kwa sekunde 5, halafu kalale nayo.
 
Hadithi ya kufikitika kwani hajawahi kuonekana kwani aliyemwona alikufa na hakuna akiyesimuliwa kwani msimuliaji alikua, pia nyoka badi hajazaliwa wala kuanguliwa kwani nyoka wa kuzaa au kuangua bado hajawahi kuwepo
 
Uyu ni mbabe, leo umeota ndoto mbaya kweli.
Vile upo vizuri na baraka kutoka kwa mkuu aliye juu. Umeikumbuka ndoto yote.
 
Uzi kama huu usio na DATA za ukweli, reliability and validity of data haziakisi uhalisia ,unatakiwa ufutwe watu hujifunza pitia jf sasa taarifa ina data ambazo ni outlier
 
Mtoto wangu anapenda hiki kipindi hadi namshangaa wenzie wanataka katuni yeye analilia snake in the city...sijui hata anapendea nini
 
Mleta mada umetudharau sana. Hata mtoto huwezi kumdanganya kijinga hivyo. Eti nyoka hana jinsia, mara ukisikia harufu yake unapata madonda na kufa. Kafe mwenyewe! Araaa...
 
Mleta mada umetudharau sana. Hata mtoto huwezi kumdanganya kijinga hivyo. Eti nyoka hana jinsia, mara ukisikia harufu yake unapata madonda na kufa. Kafe mwenyewe! Araaa...
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Moja ya big outlier
 
Tumesha zoea chai mkuu! Hii ya leo unatutafutia ubaya na ndugu

Yaani! Hivyo vyooote naweza nikajitahidi kuvielewa ila ile ya kubadilika MAMBA daaah! Samahani sana mkuu tuheshimiane[emoji26][emoji2959][emoji2959][emoji35]
 
Mshana Jr labda kama mshana atuambie ni nyoka wa ki mazingiraπŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ˜ŽπŸ˜Ž
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…