Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa enzi hizo hiyo ilikkua White House
Hiv yule mzungu aliyekua anafuga ng'ombe pale bushir na kutengeza yoguort bado yupo?Sky...
Nyumba hii ni ile ambayo iko Mahiwa na kuna wakati alikuwa akiishi Mzungu kutoka Holland?
Ana kijiji kinaitwa bushirHuyu kiongozi hakuna hata kumbukumbu ya jina lake Kama shule, barabara, hospitali au chochote tu
Khaaaa we ni mwarabu wa pangani nini maana ndiyo utetezi wao huoHivi "hatukukubaliana" kwamba Waarabu hawajawahi kufanya biashara ya watumwa?
Pakoje? Vyumba vingap? Hiyi basemate ipo? Imekarabatiwa au iko vilevile?Sky,
Nimefika na kuingia ndani ya hiyo nyumba.
Bushir na bwana heriNyumba ya Bushiri Ali Harthi, iliyojengwa kwa Matumbawe na udongo, bado ina nguvu kama ilivyo, inayopatikana Pangani, mkoani Tanga. Nyumba ina basement, ambapo mazungumzo ya watumwa yamefichwa.
Bushiri alipigana vita na Wajerumani (Bushiri Revolt 1888 - 1889) na kushindwa sana, kukamatwa na kuhukumiwa hukumu ya kifo, kunyongwa tarehe 15 Dec 1889 huko Pangani.
_________
Bushiri Ali Harthi's House, built from Coral and clay, still strong as it is, found in Pangani, Tanga region. The house has basement, where a chattel of slaves hidden.
Bushiri fought a war with Germans (Bushiri Revolt 1888 - 1889) and desperately defeated, apprehended and sentenced to a death sentence, hanged on 15th Dec 1889 in Pangani.
😂😂😂😂😂😂Khaaaa we ni mwarabu wa pangani nini maana ndiyo utetezi wao huo
Kwa uhakika biashara ya utumwa ilikuwepo tengu enzi za awali hata kabla ya hiyo Ottoman Empire.Biashara ya utumwa iliendelezwa na Ottomans, soko kubwa la awali lilikua Misri mpaka Arabuni. Wazungu walianza kununu watumwa baada ya kupata makoloni na kuanza kulima kuanzia Brazil, Mexico, Jamaica mpaka North America.
Waizrael walikaa utmwani Misri kwa miaka 40.Kwa uhakika biashara ya utumwa ilikuwepo tengu enzi za awali hata kabla ya hiyo Ottoman Empire.
Wakati wa Roman Empire 2000 BC tayari walikuwepo watumwa, sema enzi hizo walikuwa watumwa wazungu wenzano wa kutoka 'porini' au walioshindwa vita walivyokuwa wakipigana.
Super...Mzee Mohamed Said naomba historia ya bahati camp morogoro maana iko milimani mnoo.
Ni jengo lililojengwa na wajerumani zamani kwasasa linatumiwa na skauti nchi nzima liko milimani mno kwa waluguru.Super...
Siijui.
Anza kusoma na kupata elimu angalau kidogo, tafadhali!Waarabu wote walikua wanafanya biashara ya watumwa kama si kuuza walikua wananunua na wengine walikua wanakusanya watumwa. Kwahiyo hamna mwarabu hapa tanzania ambaye babu yake hakuhusika kwenye biashara ya utumwa
usisahau Waafrika waliofanya biashara hiyo pia pande zote mbili, magharibi na masharikiWazungu ndio walifanya biashara ya watumwa wala hatukatai ila hapa kwetu tanzania waarabu ndip walikua vinara wa biashara ya utumwa na wareno mzee acha kutetea warabau kwasababu ya dini
Hawa wana fikra kuwa waarabu wote walikuwa matajiri wenye kufanya biashara ya utumwa. Wengi walikuja kujitafutia riziki tu kama waafrika walioondoka hapa kwenda ulaya. Wao na wahindi wengi waliokuja mwanzo wa karne ya ishirini walikuwa ni masikini na wakitembea hata bila kuvaa viatu.Anza kusoma na kupata elimu angalau kidogo, tafadhali!
Idadi ya Waarabu, hasa kutoka Hadramaut (Yemen), walifika visiwani baada ya kufungwa kwa soko la watumwa. Kazi yao mwanzoni ilikuwa kubeba mizigo kwenye bandari na kazi nyingine duni. Mababu wa Abdulrazak Gurnah walikuwa Waarabu maskini vile waliofika baada ya mwisho wa biashara ya watumwa.
Hakuna kupinga hapa kwamba Waarabu waliendesha biashara ya watumwa katika Afrika ya Mashariki (kwa kushirikiana na watawala wa Kiafrika...) . Lakini kujumlisha kundi jinsi unavyofanya ni mbali na ukweli wowote.
AU - unatambuaje leo hao Waafrika ambao mababu wao waliuza watumwa? Je hao wa leo wana kosa?
Huyo muuza watu unataka akumbukwe kwa lipi?!Huyu kiongozi hakuna hata kumbukumbu ya jina lake Kama shule, barabara, hospitali au chochote tu
Nitajie hao waafrika huku tanzania walikua waarabu au machotara wa kiarabu. Huku sisi hatujawahi uzana ni baada ya ukoloni ndio tumekuwa mazipe zipe tunauza nchi yetuusisahau Waafrika waliofanya biashara hiyo pia pande zote mbili, magharibi na mashariki
Vipi kuhusu Slave Trade Across the Indian Ocean?Ndugu zanguni,
Ikiwa mnataka historia ya utumwa ni vizuri sana mkasogea mbele na kusoma The Across Atlantic Slave Trade na Belgian Congo Slave Trade.