INAUZWA Nyumba inauzwa Mbweni

INAUZWA Nyumba inauzwa Mbweni

funzadume mzee mwenzangu umekuwa mkali kwenye huu uzi kama Le mutuz...may he continue to RIP.

Anyway kila mtu ana experience tofauti kwenye ujenzi. By the way hata ujenzi una mengi. Kuna hustle nyingi. Mafundi wetu wanakatisha tamaa kwa wizi, uzembe nk...

Overall hiyo nyumba ni nzuri. Seems mwenye nayo ni mtu anajielewa. Na inawezekana anaiuza kwa sababu ya shida ya ghafla. It's a beautiful house.
 
Ukute kuna watu wanahisi na hilo ghorofa ni sehemu ya nyumba inayouzwa!! Maana kuna mtu kazungumzia servant quarter na nimeitafuta siioni zaidi ya kuona hicho kama kipatio.
 
kama umeipenda hii nyumba usichelewe ,imeshafika kwa madalali naona bei yao ni milioni 230.
 
funzadume mzee mwenzangu umekuwa mkali kwenye huu uzi kama Le mutuz...may he continue to RIP.

Anyway kila mtu ana experience tofauti kwenye ujenzi. By the way hata ujenzi una mengi. Kuna hustle nyingi. Mafundi wetu wanakatisha tamaa kwa wizi, uzembe nk...

Overall hiyo nyumba ni nzuri. Seems mwenye nayo ni mtu anajielewa. Na inawezekana anaiuza kwa sababu ya shida ya ghafla. It's a beautiful house.
Nimekubali yaishe mtu kazi
 
Back
Top Bottom