Nyumba ninayoishi imeanza kuwa na vioja usiku

TUMIA CHUMVI YA MAWE TU
 
Oga na Chumvi ya Mawe Uoga utaondoka huoo ,"Uchawi mean Uoga wako Mwenyewe"
 
hata mimi ishawahi nikuta hyo na bado inaendelea kunikuta,,,
ila tatzo nimekuja kugundua ni kutokua na hela πŸ™‚
 

Kama unatumia bangi choma ndani humo chumbani na kama ni nyumba choma kote pia pika sana kitimoto ndani humo utakuja kunishukuru badae!
 
Kama unatumia bangi choma ndani humo chumbani na kama ni nyumba choma kote pia pika sana kitimoto ndani humo utakuja kunishukuru badae!
Kitimoto sili, bangi kuipata sio rahisi na ni risk, ntajaribu chunvi ya mawe kama nilivyoshauriwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…