Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Ni nyumba nzuri zinazoweza kujengwa popote pale, lakini zinapendeza zaidi zikijengwa katika mazingira pembeni mwa Miji bushes.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hoi lile eneo jua kali bado harakati zinaendelea?Yaan kilakitu kinaonekana ndani,hawa vijana wa mwanjelwa watavumilia kweli
Sijaelewa?Hoi lile eneo jua kali bado harakati zinaendelea?
Usije ukaliwasha moto itakua balaa4.5ml kontena la futi 40 kwahiyo ukiwa na 6ml unaingia ghetto.
Jua kali ukipigwa paipu humo kwenye kontena utawaelewa umuhimu wa kiyoyozi km huna feniSijaelewa?
Kuna eneo ile njia ya kwenda dukani kwa Mfikemo walikuwa wanauza ngada na vibaka hatari.Sijaelewa?
Unyama ni mwingi sana mkuu ,hapo kwa haraka haraka ni kama 40 feet uwe nazo kama 10.
Watanzania akili zetu ni za kuigana tu hatuna akili mbadala yule kafyatua tofali basi na wewe unafyatua tofali wakati kontena mbili tu, unapata ghetto la nguvu sana4.5ml kontena la futi 40 kwahiyo ukiwa na 6ml unaingia ghetto.
Viijana wa mwanjels utajikuta umelala chini chumba cheupe🤣Yaan kilakitu kinaonekana ndani,hawa vijana wa mwanjelwa watavumilia kweli
Wamejenga maduka....vibaka wamehamia airport ya zamani na njia ya kwenda isangaKuna eneo ile njia ya kwenda dukani kwa Mfikemo walikuwa wanauza ngada na vibaka hatari.
Unamaanisha hawa wanaoshinda na kulala kule kwenye mapumba ya mpunga au!?Yaan kilakitu kinaonekana ndani,hawa vijana wa mwanjelwa watavumilia kweli
MPE Fundi Maiko uone atakavyo tenda miujizaNi nyumba nzuri zinazoweza kujengwa popote pale, lakini zinapendeza zaidi zikijengwa katika mazingira pembeni mwa Miji bushes. View attachment 3139250