Raphael focus
JF-Expert Member
- Nov 4, 2018
- 779
- 4,564
Na siku mukijitoa kwenye muungano, mali za ndugu zenu zilizopo huku Tanganyika tutazipora. Na wataludi kwenye hivyo vibakuri vyenu wakiwa na masanduku ya nguo.Tumeamua tutaiacha apo ilipo ili tterritorial waters zetu iwe kubwa
Naambiwa huu mnara ulijengwa na wajerumani more than 100 years ago, una taa inawaka hapo juu mpaka leo, haifahamiki waliweka battery ya aina gani na mnara unatumika kwa shughuli gani
Lile gati vipi lilikwisha au bado ujenzi haujakamilika?
Si tatizo hilo ata Zimbabwe waliwapora weupe mashamba wakayachukua wao, kilichotokea kinajulikana.Na siku mukijitoa kwenye muungano, mali za ndugu zenu zilizopo huku Tanganyika tutazipora. Na wataludi kwenye hivyo vibakuri vyenu wakiwa na masanduku ya nguo.
Bure mkuu utalipia kama ada tu ya serikali ndogoKuchezea Papa bei gani Mkuu?
Limeshaisha mkuuLile gati vipi lilikwisha au bado ujenzi haujakamilika?
Huu hutumika na meri kubwa zinazoelekea south afrika ni alama moja wapo pia haupo mbali na mji uliozama baharini wenye Mali nyingi ukisikia mji ulozama bahari pia zipo nyingi ndio upo karibu na mnara huo watu hushindwa kwenda kwakuwa vifaa duni ila wazungu wanaenda sana tuNaambiwa huu mnara ulijengwa na wajerumani more than 100 years ago, una taa inawaka hapo juu mpaka leo, haifahamiki waliweka battery ya aina gani na mnara unatumika kwa shughuli gani
Kama huu wa tatuAkiwa dsm. Anahitaji kupumzika siku 5.
Je miezi ipi ni mizuri hauna kashi kashi Sana baharini?
Njo mkuu usiogope wale jamaa walitaka kumzingua akawazingua yeyeTakuja
Njo mkuu usiogope wale jamaa walitaka kumzingua akawazingua yeye
Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
Kuna picha nimeona mzungu kapiga nae selfie kwenye maji it is possible?Njo mkuu usiogope wale jamaa walitaka kumzingua akawazingua yeye
Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
Asante sana Mkuu, je unamilikiwa na nani na je sisi kama taifa tunanufaika nao kwa namna yoyote?Huu hutumika na meri kubwa zinazoelekea south afrika ni alama moja wapo pia haupo mbali na mji uliozama baharini wenye Mali nyingi ukisikia mji ulozama bahari pia zipo nyingi ndio upo karibu na mnara huo watu hushindwa kwenda kwakuwa vifaa duni ila wazungu wanaenda sana tu
Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
Manufaa yapo ni mali ya serikali mkuu na watalii wanakuja wengi tuAsante sana Mkuu, je unamilikiwa na nani na je sisi kama taifa tunanufaika nao kwa namna yoyote?
Ugumu wa maisha plus majukumuHizo stress daily mnazitoaga wap?
Uliekuwa unamuombea si mwenda zakeUgumu wa maisha plus majukumu
Pole . Majukum haya haya ya kila siku yanayofahamika au?Ugumu wa maisha plus majukumu
Yes hayohayo..kwani ww stress zako zimebase wapiPole . Majukum haya haya ya kila siku yanayofahamika au?