Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
🤣🤣🤣🤣🤣🤣kwani hapo kwenu iyunga hakuna ushirikina?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣kwani hapo kwenu iyunga hakuna ushirikina?
Haha siku ya kupiga kura😂😂. Nchi inaitaka kura yako coz inaweza itasaidia mabadiriko kwahiyo si vibaya ukiahirisha safari mpaka kesho yake😉Ndege hatutaenjoy ..twende na boat naskia Sasa hivi Kuna boat sijui meli.mie usafiri wa maji nimeshazoea siogopi. ...twende 28th oct
😃😂😃mkuu hebu tupe mbili tatu ilikuaje ukaingia mikononi mwa mamweraNmekaa sana jibondo kisiwani hpo
Bata nlikuwa nakula hapo kinasi Beach... Bia ndy nilikuwa nazitwanga
Sema hapo nilika lupango wiki 3... Mafia yte nkaichukiaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila, nawamiss watu wangu wa jibondo
Ova
nyie ndio mlikamatwa na magufuli akawapora samaki akawagawa hapa daslamu?Uvuvi haramuuu
Alafu nlikuwa most wanted[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Ongeza kwakweli. Mafia hapachoshi ingawa population ni ndogo comparing to other islands like Z'bar and Pemba. Kwa watu wanaopenda upweke na kubarizi maeneo yaliyotulivu with natural environment, Mafia pazuri.Nitakuja mafia ngoja niongeze maombi Mungu anakaribia kunijibu sasa.
Hahaha nini???[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaani Hadi huko ulishaharibu?[emoji3][emoji3]nishajua chanzo ni Nini![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1732][emoji1732][emoji1732]
Haha siku ya kupiga kura😂😂. Nchi inaitaka kura yako coz inaweza itasaidia mabadiriko kwahiyo si vibaya ukiahirisha safari mpaka kesho yake😉
Ukizama hakuna atakayekupa msaada maana wote watakuwa kwenye vituo vya kupiga kura😂😂😀😀😀😀Bora kushinda baharin unaogelea au ushinde sauna
Hahhaaha.. Nilikaa huko miaka mitatu ajabu nyama ya ngombe nikawa siipendi tena....OH LORD... samaki! Samaki! Samaki!!
I don't understand what's wrong with samaki!!
Unajua kwenye ajira yangu ya kwanza nakumbuka kuwatolea macho kuku wa kienyeji, utadhani nilikuwa na ugomvi nao. Guess what; within 2 weeks nilikuwa sipendi hata kusikia kitu kinachoitwa kuku coz' walinikifu kupita maelezo manake niliwafanya ni dozi ya kutwa mara 3!!
Kinyume chake, wakati nipo Mafia, naweza kula samaki mwaka mzima mfululizo na bado nisikinai! Sijui ni kwavile kuna variiets kibao za samaki ndo maana hawakinaishi!
Dah nilihis ugomv km kawaida na pombeHahaha nini???
Ova
Papa gani Teena??nataka kuja kucheza na papa huko,siku moja nitakuja tu nikipata pesa
Hahaaaaaa....nyie jidabueni tu na Kura zenu..tutaonana mbele kwa mbeleUkizama hakuna atakayekupa msaada maana wote watakuwa kwenye vituo vya kupiga kura😂😂
Twende wote plsWasalimie Kilindoni, Jibondo, Kichangachui, Utende na Chole! Salamu za kipekee ziwafikie Ismailia na Usewe yaliko majiko yangu mazuri yenye rangi rangi!!
Acha mwisho wa mwaka nije huko!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Papa gani Teena??
Nilikuwa nakusanya jongoo bahari[emoji2][emoji23][emoji2]mkuu hebu tupe mbili tatu ilikuaje ukaingia mikononi mwa mamwera
Kuna papa na papa mkuu? Sijui mwenzetu ataka kuchezea papa gani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Fanya mchakato wa boti za marine twende.Mafia pako poa sana, and I really miss those old days! Tena ndo vile nilikuwa na ushikaji na watu wa Marine Park, kuna siku mshikaji mmoja akanipa offer ya kwenda kufanya boating kwa kutumia boats zenye kioo kwa chini!
It's a very amazing experience!
Pombe hko walikuwa Wanajua snywiDah nilihis ugomv km kawaida na pombe
Ushawahi kupanda jahazi lkn[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]