Yeah!.. majuto ni mjukuu
 
Kule Antananarivo huwa kesi inasukwa kwamba hakimu awanyime kahaki flani kwenye mwendelezo wa kesi...
Baada ya waTz kusahau walau miaka miwili hivi baadae, inakatwa rufaa watu haooo mtaani!!
Mtajua hamjui kuwa mnamjua...
 
Sitaki kuamini km hawa, kweli wataenda jela kutumikia kifungo cha maisha.
Watatokaa na kwenda kwenye majukumu yao ya kazi km kawaida.

Case ya RC Nawanda, hata hatujui imeishia wapii Lol.
 
ifike wakati kupunguza msongamano wawe wananyongwa. magereza zinazidiwa wingi wa watu.
Wapewe kazi ngumu za kufanya kuna mashamba makubwa wanaweza kulima, kufanya usafi mijini, ufugaji, ujenzi, kufanya kazi kwenye viwanda vya magereza vijana hao nguvu kazi. Magereza inaweza kutoa gawio kwa serikali.
 

Kwaiyo Rais aifose mahakama akiwa kwenye Media kwamba majaji wafanye haraka kuhukumu kesi fulani au??!!!!! Au aseme hao wabakaji wafungwe wasiachiwe huru
 
Hii kesi Bado haijaisha mkuu mahakama imesema inazid kukusanya ushaid na wanaweza kwenda jela ama kurud uraiani
 

Hii ngoma ikifika Court of Appeal lazima tufurahi kule kama kuna ka procedure kalivurundwa huku chini hawapepesi macho.
 
Sitashangaa hiyo kesi ikafutwa na kuamuriwa ianze upya na Mahakama Kuu au ya Rufani, justice hurried is justice burried.
 
Kuna kaharufu ka rushwa.Mama wa kambo si ni mtu mzima pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…