Hakimu
anstahiliii

Kujengewaaaq

SANAMU

SHIKAMOOO HAKIMU POOOTE ULIPO
 
Iwe fundisho kwa wengine,

Starehe ya madakika tu inafanya maisha yako yote yaliyobaki yaishie Jela,

Hata siku moja usikubali kutumwa kwenda kufanya jinai ili kumfurahisha mwingine au kwa malipo,

Ur life belong to you and life is too short,

Sasa hivi wanajuta ila ndio imeshakua too late.
 
kuna yule pimbi alikua anasema wametoka anawaona kibaha yako wapi
 
Vipi kuhusu aliyewatuma???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…