Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameisadia mahakama kutopoteza muda.Kesi imesikilizwa kwa haraka mno maana yake walishahukumiwa kabla haijasikilizwa, na wahanga wa ubakaji wengine nao kesi zao hazisikilizwi haraka hivyo sababu hawakurekodiwa video na kurushwa ktk social medias!!
Bila kilainishi na maji hawapewiZamu yao sasa kwenda kuingiliwa kinyume na maumbile huko gerezani
Kwahiyo rais ndio katoa hukumu??? RUDI SHULENI.SASA MPUMZISHENI MAMA SAMIA MWENYE KUSIMAMIA HAKI. WALIKUWA WANAMCHAFUA KUWA SERIKALI YAKE HAITENDEI HAKI WATU. VIVA SAMIA . MITANO TENA . MIHIMILI YOTE IKO FAIR FAIR FAIR FAIR
Unaushahidi? Mahakama haikurupuki mkuuBado afande aliyewatuma tunamtaka nae sheria ich7kue mkondo wake
Bila shinikizo hii kesi ingeshakufa.SASA MPUMZISHENI MAMA SAMIA MWENYE KUSIMAMIA HAKI. WALIKUWA WANAMCHAFUA KUWA SERIKALI YAKE HAITENDEI HAKI WATU. VIVA SAMIA . MITANO TENA . MIHIMILI YOTE IKO FAIR FAIR FAIR FAIR
Wakichomoka huko naukweka dunia nzima,,,,tena sijui kama itakuwepo hio na hata ikiwepo baada ya hio rufaa watapigwa nyundo hadi aheraWasije kuchomoka kwenye rufaa tu.
Kabake kwanza alafu ndio ujue kesi itakimbizwa au lahKesi imesikilizwa kwa haraka mno maana yake walishahukumiwa kabla haijasikilizwa, na wahanga wa ubakaji wengine nao kesi zao hazisikilizwi haraka hivyo sababu hawakurekodiwa video na kurushwa ktk social medias!!
Haki imepatikana kwa waharifu,......Binti kama alikua anajiuza aache,kama alikua anatembea na waume wa za watu,inabidi atubu,.........atakuja BOYA mmoja WA generation Z kumvisha Pete huku akibubujikwa na machozi,Binti aliyefir.rw.a vilivyoHatimaye haki imepatikana kwa binti huyo aliyefanyiwa unyama. Afande aliyewatuma hatma yake ni ipi?
Bora ufukara na umasikini uraianiIwe fundisho kwa wengine,
Starehe ya madakika tu inafanya maisha yako yote yaliyobaki yaishie Jela,
Hata siku moja usikubali kutumwa kwenda kufanya jinai ili kumfurahisha mwingine au kwa malipo,
Ur life belong to you and life is too short,
Sasa hivi wanajuta ila ndio imeshakua too late.
sasa hawa unawaongezea na p.didy kwa juu...yani nimewafunga maisha na kila ijumaa,jumamosi na jumapili mtakuwa mnalala na p.didy
Hiyo mitano tena imemghalimu Zuchu pale jijini MbeyaSASA MPUMZISHENI MAMA SAMIA MWENYE KUSIMAMIA HAKI. WALIKUWA WANAMCHAFUA KUWA SERIKALI YAKE HAITENDEI HAKI WATU. VIVA SAMIA . MITANO TENA . MIHIMILI YOTE IKO FAIR FAIR FAIR FAIR