Nyundo na wenzake wakutwa na hatia, wahukumiwa kifungo cha Maisha Jela
Kuna mpuuzi mmoja humu JF alikuwa anafungua nyuzi kama zote akijiapiza hawatafungwa kwasababu eti serikali inawapigia magoti asikari nikamwambia hajui alifanyalo.

Serikali iwapigie magoti asikari wangekuwa wanaishi maisha magumu kama mawe wakati na baada ya ajira?

Nimemsahau huyu member lakini nilichokuwa namhakikishia tu ni kwamba wanaenda kufungwa kwakuwa hana uelewa wa mambo ya sheria nikaona anaendeshwa na ego tu.
KANITUKANAA SANA INBOX NKAMJIBU SUBIRIA SHOW KWENYE HUKUMUUUUU

HATA LEOO MWENZIE WAKATI TUKIULIZA HUKUMU AKAJIBU WAMEACHIWAAAAQ

WEWEEEEEEE NAIJUAAA ILE....

YAAN WAANZE TU KUANDIKA URITHI MAPEMA KWA WATOTO ZAOOOOO

WAAKE ZAO WAKAOMBE TALAKA MAPEMA WASIJEBUGUDHIWA
 
Back
Top Bottom