Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Tajir upo,za siku mingiBushloyaaa alimchanganya mixer minyege akijikuta General kumbe kurutaaaaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tajir upo,za siku mingiBushloyaaa alimchanganya mixer minyege akijikuta General kumbe kurutaaaaa.
Nipo Boss mzima wa afya kabisaaa.Tajir upo,za siku mingi
Tena ujinga wa kiwango cha juu sana,yaan unafungwa maisha kwa ajili ya mbususu?Nyundo mfupi basi ndio mjinga , kulikuwa na haja gani ya kurekodi ...Hwa ni wahuni wa vijijini ....Unaharibu maisha yako kwa ujinga .
Vizur tajir tupo pamoja,kikubwa pumziNipo Boss mzima wa afya kabisaaa.
Una point usikilizwe,,,duuh hii kaliJela ni kwa kila mtu tunapishana muda, saa,siku na kesi husika ya kuingia hivyo kila ukiamka asubuhi shukuru Mungu akuepushe na hicho kikombe.......
Bro wangu yupo jela kisa mtoto wake alipigwa na mama wa kambo wakimchangia na watoto wake mpaka kifo ila sheria imemuadhibu na kwa nin alikuwa afatiri usalama wa family yake.............@jailis4everybody
Ile kideo wanastaili kifungwa JW na Askari magereza mlivyo wajinga manakubali kuchukua kideo kwa tukio kama lile(ushaidi mnachukua) mmejifunga wenyewe kijinga sana.Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma, imewahukumu kifungo cha maisha gerezani washtakiwa wanne maarufu ‘waliotumwa na afande’, baada ya kuwatia hatiani kwa kosa la kubaka kwa kundi na kumwingilia kinyume cha maumbile binti, mkazi wa Yombo Dovya, jijini Dar es Salaam.
Ni katika kesi ya jinai namba 23476 ya mwaka 2024 iliyokuwa inawakabili washtakiwa hao akiwamo MT 140105 Clinton Damas, maarufu Nyundo ambaye ni askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), askari Magereza C.1693 Praygod Mushi, Nickson Jackson ‘Machuche’ na Amin Lema anayejulikana pia kwa jina la Kindamba.
Hukumu hiyo imetolewa leo Jumatatu, Septemba 30, 2024. Pia, Mahakama hiyo imewataka kila mmoja kumlipa binti huyo fidia ya Sh1 milioni.
Pia soma
SASA MPUMZISHENI MAMA SAMIA MWENYE KUSIMAMIA HAKI. WALIKUWA WANAMCHAFUA KUWA SERIKALI YAKE HAITENDEI HAKI WATU. VIVA SAMIA . MITANO TENA . MIHIMILI YOTE IKO FAIR FAIR FAIR FFA
Mama Samia anahusika vipi na hukumu ya Mahakama!? Mahakama ni mihimili unao jitegemea ambao unaongozwa na Jaji Mkuu!SASA MPUMZISHENI MAMA SAMIA MWENYE KUSIMAMIA HAKI. WALIKUWA WANAMCHAFUA KUWA SERIKALI YAKE HAITENDEI HAKI WATU. VIVA SAMIA . MITANO TENA . MIHIMILI YOTE IKO FAIR FAIR FAIR FAIR
Nilikaa mahabusu masaa matatu tu pale msimbazi center kwa kosa la kumdhamini mtu ambaye kisha akakimbia,yale masaa matatu yalitosha kuona maisha ya kufungwa ni mtihaniJela kubaya !!
Sio mchezo mkuu, Maisha yote nyuma ya nondoNilikaa mahabusu masaa matatu tu pale msimbazi center kwa kosa la kumdhamini mtu ambaye kisha akakimbia,yale masaa matatu yalitosha kuona maisha ya kufungwa ni mtihani