Nyundo na wenzake wakutwa na hatia, wahukumiwa kifungo cha Maisha Jela
WAKUTANEEE NA KINAAA PDIDY WA TZ WEWEEEEE YAAAN KAMA UNA ILE VID IFUTE KABISAA HII HUKUMU TOSHA
 
Na afande mwanamama kapewa hukumu gani
Waliofanya maishaa

Aliowatumaaa atapewaaa jeneza

Eatv wametangaza wote waliohusika wamepigwa ban life sent...

Bora pawpaw akupitie na ban ya mwezi wiki woiiii

Maishaaaaa oteee

Yaaan hope wameshaandika urithi kama n nduguzakoo weka sawa mapema wale usishangae kusikia wamejiua gerezan

2.kama wameoa hakikisha wake wanapata haki zao stahiki

Ikiwezekana wakafungue kabisa kesi ya talaka mapema wamalizane na jamaa kwenye mgaoo wakaanze maisha mapyaa

3.kama wana watotoo ndugu hii n ajali msiwanyanyapae wapeni elimu kama kawaidaaaaa wataelewa tyu ukubwani baba kawekwa ndani kwa ufiraunj

4mwishoo kama n ndugu mkaombe radhi kwa yule mtoto na familia zakee

Nawaambiaa hii dhambii huwa haimwachi mtu salamaaa kama amefanya baba msishangae na wanae wakaja kufanya ushenzi huo huo

Ombeni radhi

Nendeni kanisani ama msikitini mkatubu kwa kola wenu kwaniaba ya huyu mhuni else hasira za Mungu azitowaachaa

Hayo2.
Karibuni tupate dompo hapa
 
Vipi kuhusu aliyewatuma???
20240605_192748.jpg
 
Kuna mpuuzi mmoja humu JF alikuwa anafungua nyuzi kama zote akijiapiza hawatafungwa kwasababu eti serikali inawapigia magoti asikari nikamwambia hajui alifanyalo.

Serikali iwapigie magoti asikari wangekuwa wanaishi maisha magumu kama mawe wakati na baada ya ajira?

Nimemsahau huyu member lakini nilichokuwa namhakikishia tu ni kwamba wanaenda kufungwa kwakuwa hana uelewa wa mambo ya sheria nikaona anaendeshwa na ego tu.
 
Back
Top Bottom