Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅Kwahiyo ile ndo ilikuwa mbususu yao ya mwisho kuila
Waliofanya maishaaNa afande mwanamama kapewa hukumu gani
Ni ngumu sana kwa namna ushahidi ulivyokuwa umeshiba.Wasije kuchomoka kwenye rufaa tu.
Bora wakakae na pdidy usa..lohDah,.Noma sana,wana wanaenda kuanza maisha mapya,hayo uyasikie tu usiombe yakukute.
Hili. Jukwaa LA hoja mchanganyiko ujueMilioni 1 kila mmoja ni milioni 4 tu. Mie sitoagi mzigo kwa bei hiyo. CHINI SANA
Yeye ndiye hakimu aliyesikiliza kesi! Uchawa wako peleka UWT.SASA MPUMZISHENI MAMA SAMIA MWENYE KUSIMAMIA HAKI. WALIKUWA WANAMCHAFUA KUWA SERIKALI YAKE HAITENDEI HAKI WATU. VIVA SAMIA . MITANO TENA . MIHIMILI YOTE IKO FAIR FAIR FAIR FAIR
Mda sio mrefu utasikia wamekata rufaa wameshinda kesiSASA MPUMZISHENI MAMA SAMIA MWENYE KUSIMAMIA HAKI. WALIKUWA WANAMCHAFUA KUWA SERIKALI YAKE HAITENDEI HAKI WATU. VIVA SAMIA . MITANO TENA . MIHIMILI YOTE IKO FAIR FAIR FAIR FAIR
Alieamaliza n yule mjinga aliejipiga picha wakido akaenda kumpa mhuni aliemtuma nxty wakajua wakisambaza wanamwaribia mzeeNi ngumu sana kwa namna ushahidi ulivyokuwa umeshiba.
Vipi kuhusu aliyewatuma???
Mahakama imetenda haki na haki imeonekana kutendeka.