desayi
JF-Expert Member
- Aug 27, 2017
- 3,593
- 5,848
Bei Gani watu tuna hela za ufisadiMilioni 1 kila mmoja ni milioni 4 tu. Mie sitoagi mzigo kwa bei hiyo. CHINI SANA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bei Gani watu tuna hela za ufisadiMilioni 1 kila mmoja ni milioni 4 tu. Mie sitoagi mzigo kwa bei hiyo. CHINI SANA
Ila walitumwa na mama tena afande!Kama ni kweli, ni sawa, ule ni udhalilishaji mkubwa
haitoshi,anatakiwa pia haki itendeke kwa aliyewapa maagizoKama ni kweli, ni sawa, ule ni udhalilishaji mkubwa
KANITUKANAA SANA INBOX NKAMJIBU SUBIRIA SHOW KWENYE HUKUMUUUUUKuna mpuuzi mmoja humu JF alikuwa anafungua nyuzi kama zote akijiapiza hawatafungwa kwasababu eti serikali inawapigia magoti asikari nikamwambia hajui alifanyalo.
Serikali iwapigie magoti asikari wangekuwa wanaishi maisha magumu kama mawe wakati na baada ya ajira?
Nimemsahau huyu member lakini nilichokuwa namhakikishia tu ni kwamba wanaenda kufungwa kwakuwa hana uelewa wa mambo ya sheria nikaona anaendeshwa na ego tu.
Afande labda Yuko juu ya Sheria!haitoshi,anatakiwa pia haki itendeke kwa aliyewapa maagizo
Mjinga mmoja Alimwambia subiri nitokee sijui alijiamini nnAliyetaka jokali akitoka jela amtafute yule mdada mpiga picha wafunge ndoa.
Ukisikia kula kama ndio siku yako ya mwisho ndio ileKwahiyo ile ndo ilikuwa mbususu yao ya mwisho kuila
Bushloyaaa alimchanganya mixer minyege akijikuta General kumbe kurutaaaaa.Mjinga mmoja Alimwambia subiri nitokee sijui alijiamini nn
Acha ujingaSASA MPUMZISHENI MAMA SAMIA MWENYE KUSIMAMIA HAKI. WALIKUWA WANAMCHAFUA KUWA SERIKALI YAKE HAITENDEI HAKI WATU. VIVA SAMIA . MITANO TENA . MIHIMILI YOTE IKO FAIR FAIR FAIR FAIR