Oa msichana ndani ya ukoo wako

Oa msichana ndani ya ukoo wako

Tuna kizazi cha hovyo hovyo sana.
Ni kweli kuna wanawake pasua kichwa lkn sio kwa ukubwa huu.
Ukiwa akili kubwa mwanamke unamdhibiti tu kwa upendo na anatulia tu na mahaba juu.

Akili mtu wangu

Mahaba gani zaidi ya kupasuka mfuko!?[emoji276]
 
Naumia sana kuona wanawake kumdhalilisa waume zao pindi tu kunapotoke sitofahamu na kuachana.

Leo bora tuwafate waarabu life style yao tu japo si wote. Kuoa msichana asietoka mbali na familia naona itapunguza ukakasi na matatizo ya kudhalilishana kuliko unaenda kuoa 10000 miles, ndugu wa mke na mume ata akuna mawasiliano na kujuliana hali.

Mazingira humpa msichana kufanya upumbavu wowote bila ata kujiuliza mara mbili.

Mawazo yangu tu hayo.
Siku hizi Jamii Forum imevamiwa na watu wa ajabu sana.

Sijui wanatoka wapi aisee.
 
Tuna kizazi cha hovyo hovyo sana.
Ni kweli kuna wanawake pasua kichwa lkn sio kwa ukubwa huu.
Ukiwa akili kubwa mwanamke unamdhibiti tu kwa upendo na anatulia tu na mahaba juu.

Akili mtu wangu
Ni failure ya malezi wazazi wa 1990s upto 2000s wametengeneza kizazi cha hovyo Kuliko kawaida.
 
No, kama Kuna magonjwa mtaendelea kurithishana, umasikini pia, hata hivyo kimaandiko hairusiwi na kama ni wafupi mtaendelea kuzaa stuli
 
Hahaha [emoji23][emoji23][emoji23] una utani na Hawa bhandugu mmeku aki, watakupeleka Kenya na hivi we ni mpakani hapo Rombo hahaha
Huko ni kuendeleza umasikini na udumavu.
Ona wapare walivyo wafupi
 
Back
Top Bottom