Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Ni wowaNi oha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wowaNi oha
😂😂 Huu ni uchocheziKwahiyo unataka kusema kwamba kama mwanaume hana akili ndiyo anakuja na uzi kama huu? [emoji23]
😃😃In wowa
Tuna kizazi cha hovyo hovyo sana.
Ni kweli kuna wanawake pasua kichwa lkn sio kwa ukubwa huu.
Ukiwa akili kubwa mwanamke unamdhibiti tu kwa upendo na anatulia tu na mahaba juu.
Akili mtu wangu
Lazima uongee hivyo kwa uzoefu wa dada zako wa kinyiramba😅Mahaba gani zaidi ya kupasuka mfuko!?[emoji276]
Lazima uongee hivyo kwa uzoefu wa dada zako wa kinyiramba[emoji28]
Siku hizi Jamii Forum imevamiwa na watu wa ajabu sana.Naumia sana kuona wanawake kumdhalilisa waume zao pindi tu kunapotoke sitofahamu na kuachana.
Leo bora tuwafate waarabu life style yao tu japo si wote. Kuoa msichana asietoka mbali na familia naona itapunguza ukakasi na matatizo ya kudhalilishana kuliko unaenda kuoa 10000 miles, ndugu wa mke na mume ata akuna mawasiliano na kujuliana hali.
Mazingira humpa msichana kufanya upumbavu wowote bila ata kujiuliza mara mbili.
Mawazo yangu tu hayo.
Ni failure ya malezi wazazi wa 1990s upto 2000s wametengeneza kizazi cha hovyo Kuliko kawaida.Tuna kizazi cha hovyo hovyo sana.
Ni kweli kuna wanawake pasua kichwa lkn sio kwa ukubwa huu.
Ukiwa akili kubwa mwanamke unamdhibiti tu kwa upendo na anatulia tu na mahaba juu.
Akili mtu wangu
Fambaf nakifahamu sana kizazi chenu cha kinyiramba...mnapandana hovyo kama mambusi😂😂😂Sisi huku ni chapa ilale hatuna mambo mengi [emoji276]
Wewe jamaa mchonganishiKwahiyo unataka kusema kwamba kama mwanaume hana akili ndiyo anakuja na uzi kama huu? [emoji23]
Hivi ni OA au OWA??
Tuanzie kwanza hapo
Kijana mbad habari huko uliko mukuuuni HOA
Tuna majipu usoni 🤣 ? Kama unajiona ni special left acha ukonyoSiku hizi Jamii Forum imevamiwa na watu wa ajabu sana.
Sijui wanatoka wapi aisee.
Akuna anaeweza kumzidi akili mwanamke broMahaba gani zaidi ya kupasuka mfuko!?[emoji276]
Huko ni kuendeleza umasikini na udumavu.
Ona wapare walivyo wafupi
Utii umepotea.Lilith yupo kazini, kawaambia wabadili nature🤣🤣🤣
Hivi tuseme wanawake wametuzidi akili? Mbona threads za aina hii zimekuwa nyingi?
Wanaume tumekuwa watu wa kulia lia tu kutwa kuumizwa na hawa wasaidizi wetu
Sema kidume kulia kwa sababu ya mapenzi ni umamaUtii umepotea.Lilith yupo kazini, kawaambia wabadili nature