Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Ametukanaje? Pumbavu wewe. Yakikukuta siku Moja utaelewa hayo maumivu, imagine watoto wake, ndugu zake and other dependents wana Hali Gani muda huu?Alikuwa anatukana mitandaoni, kutukana ni kosa, ngoja anyooshwe
[emoji38][emoji38][emoji38]Ametukanaje? Pumbavu wewe. Yakikukuta siku Moja utaelewa hayo maumivu, imagine watoto wake, ndugu zake and other dependents wana Hali Gani muda huu?
Mama anaogopa kivuli chakeAlikuwa anatukana mitandaoni, kutukana ni kosa, ngoja anyooshwe
Lissu kapewa mafao, Mwenyekiti katolewa kwa kesi ya ugaidi, Kabwe anakula ruzuku kutoka serikali ya umoja, lema analipiwa mkopo wake banki... Nashangaa huyu kibatalaKwa sababu siyo awamu ya tano basi inachukuliwa simple tu hata kelele siyo nzito sana.
Ila kila mwananchi hasa wa JF unapaswa kupata jibu mujarabu.
Yaah mm huyu jamaa nilikuwa naish nae jirani kbsa kosa lake kubwa Zaid alikoment vibaya kuhusu ndugai kipindi kile ndugai akiwa na nguvu kisa kina mdee jmaa alichukia a jinsi ndugai anavyo watetea kina mdee ndipo akakoment ktk grupo lake kuwa ndugai Ni kilaza tuHuyo ni ile mko kundi la ofisini au la washkaji wa ofisini mnakuwa mna chat katika free time jamaa akaamua kupasuka tu bila kujua kunakuwaga na wakuder miongoni mwetu, kama kuna mkubwa alikuwa anamchukia ndio akapenyezewa screenshots.
Akapata sababu ya kumuumiza kupitia sheria.
Ndugai ndio alimshitaki auYaah mm huyu jamaa nilikuwa naish nae jirani kbsa kosa lake kubwa Zaid alikoment vibaya kuhusu ndugai kipindi kile ndugai akiwa na nguvu kisa kina mdee jmaa alichukia a jinsi ndugai anavyo watetea kina mdee ndipo akakoment ktk grupo lake kuwa ndugai Ni kilaza tu
Kosa lapili nikucritise kuhusu tozo zilizoanzishwa na serekali
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kak huyu jamma alisimamishwa Kaz mwka jana kipind miezi Kama hii hii kipindi tozo za miamala ya simu na umeme ilivyoanzishwaIla Watumishi wengi wa Umma Nchi hii hawana Ushirikiano kabisa, kazi Yao ni kuimba Solidarity Siku ya Mei Mosi pasi kuionesha Kwa vitendo.
Suala la huyu Meneja wa TRC kuhusu Tozo za makato ya Benki halimuathiri yeye peke yake isipokuwa Watumishi wote kwani Mishahara Yao inapita huko Benki na makato lazima yahusike.
Kutokuwa na Solidarity baina ya Watumishi wa Umma ilifanya hata Hayati JPM hadi anafariki asiweze kuwaongezea hata shilingi 1 kwenye Mishahara yao huku wao wakikaa Kimya tu.
Mama naye amewaongezea shilingi 63,000 Kwa kima Cha Chini na wengine shilingi 20,000 huku Yeye akiishia kuichukua hiyo ongezeko Kwa Mlango wa nyuma Kwa Kuimpose Tozo za Miamala ya Simu, Tozo za Kutoa Hela Benki n.k
So kama Watumishi wataendelea kutokuwa na Umoja baina Yao wataendelea Kuumia hadi Siku Wanastaafu Utumishi wao na kuishia kujenga Makazi Yao Kwa Hela ya Pension tena nyumba ya Vyumba Mbili kwani Kujenga nyumba kubwa watashindwa, Kwani Pension yao ya Mkupuo imeshuka kutoka 100% zamani hadi kuwa 33% Kwa Awamu [emoji119]
MIMI GENIUS NILIWAAMBIA WATANZANIA NA WAPINZANI NCHINI KUWA KAMA KIFO CHA MAGUFULI KINA MKONO WA MTU BASI TUTASHUHUDIA MENGI MAOVU KWA SABABU YA HOFU YA HAO WALIO WEKA HUO MKONO KILA HAKI ITAPIGWA VITA ...mpaka sasa tunashuhudia kupigwa vita Nyerere na Magufuli wazi wazi ..kikundi cha Waarabu koko kinatumia kila mbinu kufanikisha kutokomeza LEGACY ZA WAZALENDO WA KWELI YA NYERERE NA MAGUFULI ....Nakumbuka vyama vya upinzani vilifurahia sana kifo cha JPM ila mimi niliwaambia kwa kutumia ujiniasi wangu kuwa wasifurahi bila kwanza ya kujua kama kifo cha jpm kina mkono wa mtu au la, wao wakaniona mjinga nisiye na akili ...sasa mara tu tukasikia Mbowe gaidi yupo rupango watu wote wasio na akili wa chama tawala na waupinzani wakabaki kushangaa kwanini kesi inazidi kusongeshwa mbele na sa100 wakati adui yao alikuwa ni magufuli...imekuwaje...wengine wakasema sa100 kapatia yote ya kumchafua na kumponda JPM ila kakosea kwenye kesi ya mbowe tu kumbe kumbe kumbe[emoji117]HAWAKUJUA ILI FUMBO LA KIJINIASI LILILO NDANI YA HAYA MANENO NILIYO WAAMBIA KUWA WASIFURAHI KIFO CHA JPM HADI WAJUE KAMA KINA MKONO WA MTU AU LA. Kwa maana yote yaliyo kipata chadema na mbowe yapo ndani ya ilo fumbo ...kama kifo kilikuwa cha kawaida basi ndipo wapinzani wafurahi ila kama kilikuwa na mkono wa mtu wajue tu mbele kutakuwa na kilio na kusaga meno .....Pia kuhusu swala la katiba pia linategemea hicho kifo kama ni mkono wa mtu basi ni ujinga kudhani kuwa katiba ya kweli itapatikana kwa kupitia SA100Taarifa iliyotufikia hivi punde inasema kwamba Jonas Afumwisye meneja wa TRC aliyesimamishwa kazi kwa kupinga Tozo, AMEKAMATWA NA POLISI.
Wakili wa Meneja huyo Peter Kibatala, amedai kupigiwa simu na Mteja wake Ndugu Afumwisye na kuelezwa kwamba amefuatwa na Polisi nyumbani kwake ambao wametumwa kumkamata.
View attachment 2335762
Chanzo : MwanaHalisi
Ametukana Tusi gan wee KibakuliAlikuwa anatukana mitandaoni, kutukana ni kosa, ngoja anyooshwe
[emoji1787]Yako wapi hayo matusi?
Au usipopigwa mtungo hupati amani kabisa?
Haya nijibu.
Ukipigwa mtungo unapata amani au hupati amani?
[emoji1787]njoo nikufire mke wangu.
@BICHWA KOMWEE Mwingine huyu anataka umkule,,[emoji1787]Safi sana, wakati mwingine lazima heshima iwepo mjini
Inji ya Madelu hii, muzee ya TozzoKumbuka sisiemu ni ile ile huwa inabadili rangi tu.
Bila kuing'oa hakutakuwa na amani kabisa nchi hii.
Kama aliyajua yote hayo, aache maisha ya kihuni na kipumbavu kama ya kwakoAmetukanaje? Pumbavu wewe. Yakikukuta siku Moja utaelewa hayo maumivu, imagine watoto wake, ndugu zake and other dependents wana Hali Gani muda huu?
Mimi ni binadamu, sio kengeWe nae kumbe Kenge tu