Ofisa wa TRC aliyefukuzwa kazi kwa kukosoa tozo akamatwa na Jeshi la Polisi akiwa nyumbani kwake

Lissu kapewa mafao, Mwenyekiti katolewa kwa kesi ya ugaidi, Kabwe anakula ruzuku kutoka serikali ya umoja, lema analipiwa mkopo wake banki... Nashangaa huyu kibatala
Hakuna hisani yoyote hapo ni porojo tu , Hela za Lissu alizozuia jiwe na Ndugai ilikuwa halali kuzuiwa ? au huo ugaid wa Mbowe unaoujua wewe ndio ule wa PGO ya Kingai ?
 
Hivi hayo uliyoyataja ni makosa ?
 
Wameshajigeuza kuwa miungu wa duniani! Ila kwa bahati mbaya mwisho wa siku wote tunaenda ardhini.

Watawatesa, watawatisha, na kuwaua binadamu wenzao! Na wenyewe siku yao ikifika, watalala kaburini.
Tete mkuu nashangaa hawataki kujifunza kupitia kwa mwendazake ama kweli sikio la kufa halisikii dawa
 
"kama hayupo nasi, sio mwenzetu"

nilidhani haya yaliisha na Mwamba, kumbe bado yapo!

Generali Mabeyo (mstaafu), hii sio haki ya Mtanzania inakiukwa? Nguvu zote hizi za dola kwa mtu mdogo kama huyu?

ila dogo haelewi hizi tozo ni sehemu ya kuwarudishia wale walioporwa na Mwamba! Anaingilia jambo la watu. Sio kwa uyoga tunaouona unaota kwa spidi huko mtaani!
 
Sioni tofauti ya Samia Suluhu Hassan na John Pombe Magufuli
 
Hebu pitia Andrews hapo dukani utoe gesi....

 
Waandishi wa Habari nchi hii nao wababaishaji tu
 
Kweli mkuu naona wameamua kujilipa.
 
Inawezekana kesi ishaandaliwa, atabambikiziwa tuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…