Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa: Umoja Party hakijapata usajili wa muda. Anayetumia bendera, nembo au alama ya chama hicho anakiuka Sheria

Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa: Umoja Party hakijapata usajili wa muda. Anayetumia bendera, nembo au alama ya chama hicho anakiuka Sheria

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Marufuku mtu yoyote au taasisi kutumia jina, nembo, rangi na alama ya chama cha siasa cha "Umoja Party" hadi mchakato wa kupata usajili wa muda utakapokamilika.
219ABC0F-7BE1-44C2-A980-2ACA08BF753F.jpeg
 
Naomba nijuzwe namna ya kupata kadi ya chama kipya cha Umoja Party hapa Dodoma jiji. Tayari nimeshawishi vijana zaidi ya 50 wapo tayari kujiunga hata leo. Pia naomba kujua gharama za fulana za chama.

#Magufulification_of_Africa
Panda gari Hadi Kigoma, vuka mpaka nenda Burundi, pale Bujumbura kuna ofisi zao ndogo utapata
 
Naomba nijuzwe namna ya kupata kadi ya chama kipya cha Umoja Party hapa Dodoma jiji. Tayari nimeshawishi vijana zaidi ya 50 wapo tayari kujiunga hata leo. Pia naomba kujua gharama za fulana za chama.

#Magufulification_of_Africa
Mkuu nimetoka kuomba na Mimi huko group fulani.

Naona mods wameunganisha Uzi.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Endapo Raisi wa kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania angelikuaga ni Muislamu, vitu vingi sana vingekua tofauti na tunavoona leo.

Bahati mbaya sana, akaanza Mkatoliki (dhehebu langu)

Aaaaaah

hahahaha, Abeid Karume Zenji...
 
Kwanini bado ni siri kubwa kina nani hao watu wawili ambao waliwasilisha maombi kwa Msajili wa Vyama Vya Siasa.

OFISI YA VYAMA VINGI VYA SIASA :

Utaratibu wa kusajili chama kipya kipate hati ya muda ni huu hapa chini kutoka website ya msajili wa vyama vingi :

Chama cha siasa ni nini?

Kwa mujibu wa kifungu cha 3 cha Sheria ya Vyama vya Siasa ya mwaka 1992, Chama cha siasa ni kundi wa watu wenye lengo la kuunda Serikali kupitia uchaguzi halali.

2. Je kuna hatua ngapi katika kusajili chama?

3. Je ni nini kinahitajika ili kupata usajili wa muda?

  • • Wanzilishi wawili watawasilisha maombi ya usajili wa muda kwa kujaza fomu maalumu wakiambatanisha na katiba na kanuni za chama kitarajiwa.
  • Chama tarajiwa kinatakiwa kutoa uhuru wa mtanzania yoyote kuweza kujiunga bila kuwa na ubaguzi wowote wa kijinsia,kidini, kiitikadi n.k
  • • Kulipa ada ya maombi ya usajili ya shilingi 25,000.
  • • Usajili wa muda utadumu kwa muda wa siku 180, ndani ya muda huo, chama kitatakiwa kutafuta wanachama wasiopungua 2000 ( 200 kwa kila mkoa) katika mikoa 10, mikoa miwili kati ya hiyo ni lazima iwe Tanzania Zanzibar na mkoa mmoja kati ya hiyo miwili, uwe Pemba.
  • • Kutimiza masharti ya usajili wa muda yaliyopo kwenye sheria

4. Je ni nini kinahitajika ili kupata usajili wa kudumu?

  • • Baada ya kupata wanachama 2000 ndani ya siku 180, Waanzilishi watawasilisha maombi ya usajili wa kudumu kwa kujaza fomu maalumu.
  • • Kulipa ada ya usajili wa kudumu ya shilingi 50,000. • Chama kiwe kimepata Ofisi ya Makao makuu na anuani ya posta kwa ajili ya mawasiliano rasmi na kuchagua viongozi wa kitaifa.
  • • Chama kiwe kimetimiza masharti yote ya kupata usajili wa kudumu yaliyopo kwenye sheria ya Vyama vya Siasa ya mwaka 2010 iliyofanyiwa marekebisho 2015

Source : ORPP Website
 
Endapo Raisi wa kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania angelikuaga ni Muislamu, vitu vingi sana vingekua tofauti na tunavoona leo.

Bahati mbaya sana, akaanza Mkatoliki (dhehebu langu)

Aaaaaah
Kama nakuelewa hivi
 
Back
Top Bottom