Ogopa sana kumuoa mwanamke ambaye amewahi kumpenda mwanaume bila sababu

Ogopa sana kumuoa mwanamke ambaye amewahi kumpenda mwanaume bila sababu

Execute

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2022
Posts
3,000
Reaction score
7,336
Naomba wanaume msiache kudodosa na kupata uhakika wa jambo hili kwa huyo unayefikiria kumuoa.

Hapa namuongelea yule mwanamke ambaye ilitokea tu akamuona mwanaume halafu akampenda na wakaja kuwa na mahusiano.

Mara nyingi wanaume huwa wanawatumia wanawake wa aina hii maana ni sawa na swala kajileta kwa simba ila anakuwa hana upendo kwake.

Sasa ukioa huyo mwanamke ujue ni suala la muda huyo mwanamke ataendelea kimyakimya na jamaa yake.

Kuna wanawake wa aina hii wanne kwangu ambao nimeona walipoolewa walianza kutaka kujirudisha ndani ya miezi mitatu mpaka sita tangu ndoa.

Uzuri ni kwamba mimi mke wa mtu sitaki mazoea naye. Na ubaya ni kwamba kati ya hawa wanne watatu tayari wameshapeana talaka mahakamani.
 
Dah,,na sisi wanaume sometimes tuache nongwa kwa wanawake.

--Ukipendwa na mwanamke sababu ya pesa zako,ni tabu.

--Ukipendwa na mwanamke sababu ya kupiga tako 3000 Kwa round 1 mchezoni pia tabu,

--Ukipendwa na mwanamke sababu una sura ya mama pia kelele,

--Ukipendwa na mwanamke sababu una kifua karai , kiuno nyigu taabu.

Sasa tunataka mwanamke wa aina gn?

Siku zote tunasema hapa jukwaani,,
Ukioa mwanamke ambaye sio bikira basi ujuwe umeoa mke wa mtu..

Mengine yote ni kupiga zogo tu.
 
Dah,,na sisi wanaume sometimes tuache nongwa kwa wanawake.

--Ukipendwa na mwanamke sababu ya pesa zako,ni tabu.

--Ukipendwa na mwanamke sababu ya kupiga tako 3000 Kwa round 1 mchezoni pia tabu,

--Ukipendwa na mwanamke sababu una sura ya mama pia kelele,

--Ukipendwa na mwanamke sababu una kifua karai , kiuno nyigu taabu.

Sasa tunataka mwanamke wa aina gn?

Siku zote tunasema hapa jukwaani,,
Ukioa mwanamke ambaye sio bikira basi ujuwe umeoa mke wa mtu..

Mengine yote ni kupiga zogo tu.
Umenena vyema
 
Naomba wanaume msiache kudodosa na kupata uhakika wa jambo hili kwa huyo unayefikiria kumuoa.

Hapa namuongelea yule mwanamke ambaye ilitokea tu akamuona mwanaume halafu akampenda na wakaja kuwa na mahusiano.

Mara nyingi wanaume huwa wanawatumia wanawake wa aina hii maana ni sawa na swala kajileta kwa simba ila anakuwa hana upendo kwake.

Sasa ukioa huyo mwanamke ujue ni suala la muda huyo mwanamke ataendelea kimyakimya na jamaa yake.

Kuna wanawake wa aina hii wanne kwangu ambao nimeona walipoolewa walianza kutaka kujirudisha ndani ya miezi mitatu mpaka sita tangu ndoa.

Uzuri ni kwamba mimi mke wa mtu sitaki mazoea naye. Na ubaya ni kwamba kati ya hawa wanne watatu tayari wameshapeana talaka mahakamani.
Wewe ni kungwi?
 
Mahusiano yenu yalikuwa na malengo gani.

Inaonesha umewai kudate na wanawake wasio jitambua, walichukulia ndoa Ni Kama vile mahusiano tu, kumbe sio.

Ndoa haijalishi Me/ Ke unapoingia Kuna mambo lazima tu uyapunguze, uyaache na uyapokee.
Mwanamke anapojileta kunakuwa na malengo yoyote? Mimi hapa nimeandika nilichoona na kukutana nacho.
 
Back
Top Bottom