Ogopa sana mtu wa namna hii, tena kimbia!

Ogopa sana mtu wa namna hii, tena kimbia!

Aisee, ukipata mpenzi au mke au mume ambaye anawasiliana bado na maex tambua hakuna kitu hapo. Ana namba za maex wake wote, anachat nao akikuaminisha eti hakuna kinachoendelea. I swear tegemea mahusiano yenye maumivu sana, ndoa itakuwa haina amani. Heshimu wanaowapenda na kuwajali na kuwatunza pia.

Tuache kuwa na macho mawilimawili, inaondoa heshima kwetu wenyewe. Tutulie basi, Kunusanusa siyo kuzuri na hakuna faida unapata Kwa kuangaika angaika.

NB: Using'ang'ane na kisichokuthamini, itambue thamani yako. Kama haijawa Kwa huyo itakuwa Kwa yule. Pesa zisituvue utu wetu. Kwa mwanamke na mwanaume pia.🙏🙏🙏🙏
Kuna siku uliandika jambo hapa nikatamani niseme neno lkn sikuwa member,nilikuwa mpenzi msomaji tu. Nikili kuwa ule ujumbe wako ni miongoni mwa jumbe nyingi zilizo nivuta kuwa member.

Nashukuru hauko tayari kuitupilia mbali imani yangu kwako. Hongera!
 
Kuna siku uliandika jambo hapa nikatamani niseme neno lkn sikuwa member,nilikuwa mpenzi msomaji tu. Nikili kuwa ule ujumbe wako ni miongoni mwa jumbe nyingi zilizo nivuta kuwa member.

Nashukuru hauko tayari kuitupilia mbali imani yangu kwako. Hongera!
Barikiwa sana mkuu...karibu tena na tena
 
Acha bwana, mie uwa namchukia mwanaume anayemtukana mwanamke bwashee,

Ulithaminiwa na kuheshimiwa ukapewa kazi, je ulitekeleza kazi yako kwa ufanisi ilivokuwa inatakiwa?
soma ujume vizuri uelewe na video zipo unataka pm au
 
Achati nao tu na mie najitaftia ma x wangu tunajichatia tu,bila bila.
 
Siyo kweli na pia hutegemea na msimamo wa mtu husika aliyeamua kuwa committed.

Few can handle that situation but many can not
 
Niko 100% loyal kwa BabyCare

Nakupenda bidhaa ya Mamujee [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nachekaa km chiziiii hapa khaaaaah.
 
Akiwasiliana nao haina shda maana kama we hukuanza nae kule chin hakuna unachokwepa ni kawaida yake kama unaogopa kupgiwa na ex wake bas usiogope sana maana hata kwenye mazingra mnayoish wenda kuna mtu anakupgia tofauti na ex wake we shkuru tu akitoka anarud akiwa mzima bas mengne yaache
 
Back
Top Bottom