Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Babee miss uAmina... barikiwa sana [emoji3590][emoji3590][emoji3590]
Njoo nikufariji rafiki yangu. Au ukifika maeneo ya Kabwe niambie nije kukuchukuaNgoja nije....Yaan sasa hivi
Hii ni kweli mtupu.Aisee, ukipata mpenzi au mke au mume ambaye anawasiliana bado na maex tambua hakuna kitu hapo. Ana namba za maex wake wote, anachat nao akikuaminisha eti hakuna kinachoendelea. I swear tegemea mahusiano yenye maumivu sana, ndoa itakuwa haina amani. Heshimu wanaowapenda na kuwajali na kuwatunza pia.
Tuache kuwa na macho mawilimawili, inaondoa heshima kwetu wenyewe. Tutulie basi, Kunusanusa siyo kuzuri na hakuna faida unapata Kwa kuangaika angaika.
NB: Using'ang'ane na kisichokuthamini, itambue thamani yako. Kama haijawa Kwa huyo itakuwa Kwa yule. Pesa zisituvue utu wetu. Kwa mwanamke na mwanaume pia.🙏🙏🙏🙏
Una number yangu. Ukifika nijulisheSawa,sasa hivi nafika
Salama kabisa vp weweMiss you too...vp umeshindaje?
Swadakta sweetheartSawa,nitakucall soon😘
Haha mwambie ukweli bhana, bukheri wa afya wakati psychologically you're being tortured my dear?Niko bukheri wa afya
Acha bwana, mie uwa namchukia mwanaume anayemtukana mwanamke bwashee,Imfikie mbwa yule shemeji yangu mbwa zaidi ya mbwa na ni mbwa hadi kufa kwake ana nenepea vidonge vya uzazi kichwani ana kinda sana mbwa yule
Pole , ameshamkula X-wake ???Aisee, ukipata mpenzi au mke au mume ambaye anawasiliana bado na maex tambua hakuna kitu hapo. Ana namba za maex wake wote, anachat nao akikuaminisha eti hakuna kinachoendelea. I swear tegemea mahusiano yenye maumivu sana, ndoa itakuwa haina amani. Heshimu wanaowapenda na kuwajali na kuwatunza pia.
Tuache kuwa na macho mawilimawili, inaondoa heshima kwetu wenyewe. Tutulie basi, Kunusanusa siyo kuzuri na hakuna faida unapata Kwa kuangaika angaika.
NB: Using'ang'ane na kisichokuthamini, itambue thamani yako. Kama haijawa Kwa huyo itakuwa Kwa yule. Pesa zisituvue utu wetu. Kwa mwanamke na mwanaume pia.[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
I love uNiko bukheri wa afya