Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Yeahhh it's a matter of time atakua sawa! Na atasahau kabisa hayoI feel sorry for you. Naimani utapata ahueni ya farijiko la moyo wako kadri muda unavyosonga mbele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeahhh it's a matter of time atakua sawa! Na atasahau kabisa hayoI feel sorry for you. Naimani utapata ahueni ya farijiko la moyo wako kadri muda unavyosonga mbele
Kweli Kabisa Namuelewa sana Uzuri Time is the best answer!!!Time always heals... Tusiache kumpa moyo rafiki yetu maana haya mambo ya kutendwa yanauma sana especially by the person you truly trust.
✌️✌️✌️😘😘🤣🤣🤣🤣🤸🤸
Ila hajasema sasa kama ameamua kubreak up nae au bado wanalala under the same roof. Maana hapo Kuna faraja za aina mbili nazo zinategemea na matokeo baada ya kugundua kuwa jamaa bado yupo busy na ma ex's wake.Kweli Kabisa Namuelewa sana Uzuri Time is the best answer!!!
Mungu amtie nguvu arelaxx atulize akili ayasahau na kupata tulizo la moyo lililo bora zaidi!!
Tatizo binadamu ni wabishi sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🤣🤣🤣Ubishi utakuponza
Ninaamini majibu tayari anayo!!Ila hajasema sasa kama ameamua kubreak up nae au bado wanalala under the same roof. Maana hapo Kuna faraja za aina mbili nazo zinategemea na matokeo baada ya kugundua kuwa jamaa bado yupo busy na ma ex's wake.
To yeye tuambie sasa, mmebreak up au bado mpo pamoja? Ushauri sahihi itategemea na jibu lako
Hata mimi naamini hivyo. Wengine tunamaliza week end kwenye huzuni za misiba, wengine kwenye huzuni za mahusiano lol. All I'm all Mungu ni mwema wakati woteNinaamini majibu tayari anayo!!
Hata mimi naamini hivyo. Wengine tunamaliza week end kwenye huzuni za misiba, wengine kwenye huzuni za mahusiano lol. All I'm all Mungu ni mwema wakati wote
Mpaka najuta kwanini nilikukataa 😭 ila bado siwez kukubali😭😭😭 ...jaman mweeeIla hajasema sasa kama ameamua kubreak up nae au bado wanalala under the same roof. Maana hapo Kuna faraja za aina mbili nazo zinategemea na matokeo baada ya kugundua kuwa jamaa bado yupo busy na ma ex's wake.
To yeye tuambie sasa, mmebreak up au bado mpo pamoja? Ushauri sahihi itategemea na jibu lako
Haha sijui hukuvutiwa nami wakati vigezo vyote ninavyo dah😄Mpaka najuta kwanini nilikukataa 😭 ila bado siwez kukubali😭😭😭 ...jaman mweee
Usitumie hali iliyotokea kunikubali, chunguza moyo wako na fanya maamuzi sahihi. Bado una nafasi ya kuwa na furaha katika maisha yako na mwanao.Mpaka najuta kwanini nilikukataa 😭 ila bado siwez kukubali😭😭😭 ...jaman mweee
Nipo msibani hapa Soweto, tumejitenga kidogo kwenye ki grocery hapa tunazalisha joto la miili kushindana na hii hali ya hewa jioni hii.😊🤣🤣🤣🤣Na ndo maisha yenyewe.pole mkuu