Ogopa sana mtu wa namna hii, tena kimbia!

Ogopa sana mtu wa namna hii, tena kimbia!

Aisee, ukipata mpenzi au mke au mume ambaye anawasiliana bado na maex tambua hakuna kitu hapo. Ana namba za maex wake wote, anachat nao akikuaminisha eti hakuna kinachoendelea. I swear tegemea mahusiano yenye maumivu sana, ndoa itakuwa haina amani. Heshimu wanaowapenda na kuwajali na kuwatunza pia.

Tuache kuwa na macho mawilimawili, inaondoa heshima kwetu wenyewe. Tutulie basi, Kunusanusa siyo kuzuri na hakuna faida unapata Kwa kuangaika angaika.

NB: Using'ang'ane na kisichokuthamini, itambue thamani yako. Kama haijawa Kwa huyo itakuwa Kwa yule. Pesa zisituvue utu wetu. Kwa mwanamke na mwanaume pia.🙏🙏🙏🙏
Umewaza nn leo?
 
Mbona mwanamke wa kawaida kabisa tena mwenye kipato cha kawaida kabisa kama Shishi anafanya hivyo?

Nimekutolea mfano kwa mtu maarufu tu lakini wapo wengi sana anachohitaji kwa mwanaume ni sex satisfaction tu na kubebishwa.
Hebu siku moja mkae chini na hawa wadogo zenu muwafunde, tatizo wanaishi maisha ya zamani, enzi zile mwanaume anaprovide kila kitu...mke Kazi yake ni kuzaa tu.
Hiki ni kizazi kingine, kizazi cha wanawake waliowezeshwa, mahitaji yao yamebadilika....sio tena upande wa kanga🤣
Wanachohitaji wanawake ni mapenzi, someone to rely on.....someone they can trust....mengine yote wanajiweza.
Hivi tuchukulie mahitaji ya Mh Samia Kwa mumewe ni Sawa na ya wanawake wengine WA umri wake wa Karne iliyopita? Eti akae barazani amsubiri mume arudi na kipande cha samaki?
Waambieni Zama zimebadilika, Jana si Leo....warudisheni jandoni, la sivyo vilio vitaendelea kila siku....
 
Back
Top Bottom