Ogopa Teknolojia: Nimeweka mkataba wa bandari kwenye Chat-GPT, Imejibu kwamba bandari zitakuwa za DP World Milele!

Ogopa Teknolojia: Nimeweka mkataba wa bandari kwenye Chat-GPT, Imejibu kwamba bandari zitakuwa za DP World Milele!

Kaa hapo na fikra zako uone kama bandari itakusaidia kulipa bill
Shindwa Pepopunda!!
Hutaki kuijuwa historià?

Usiogope, babu zàko walipitishiwa bandari za Kilwa na Bagamoyo walipochukuliwa utumwani. Bandari ya Dar es Salaam likuwa ya Wasomi tu, waliokuwa wanakuja chuo kikuu cha kwanza kabisa kikubwa Afrika mashariki pale ambapo sasa panaiwa Ikulu.

Unajuwa kuwa IkuIu ilikuwa ni chuo cha hii miisiramu?
 
Duh,basi hatari sana

Ova
Mambo tayari, sasanhivi hata uki Google "DP WorldTanzania" , majibu yanakuja twitter za DP World Dar es Salaam. Jioneeni:

Screenshot_20230702_085504_Chrome.jpg


Ajuwae hakawii.
 
Kuna mambo ukifatilia sana utaendesha maisha yako kwa hofu sana na
 
Milele ndio Nini wakat hata wao wanajua tawala za kiafrika zinabadilika
Mihemko tu. Anaweza kuja raisi mwingine na vipaumbele vingine kabisa kuhusu bandari.

Binafsi siamini vipengele vya huu mkataba ila kwa hii mihemko inawezekana pia kuna watu wamenyang'anywa maslahi ya upigaji na DP world.

All in all kinachonipa matumaini ni kuwa bandari ipo kwetu, ni suala la kiongozi shupavu tu kuwaongoza watanzania kumuondoa mwarabu iwapo hakuna manufaa ya uwepo wake. Aliondoka mkoloni ije ishindikane mwekezaji mnyonyaji?
 
Majibu ni kwa vitendo tu, maongezi bungeni na humu mitandaoni.

Kazi iendekee.
Namaanisha hoja juu ya vipengele vyenye mashaka zijibiwe, au mwenzetu umejaza kinyesi kichwani? Akili umetupa chini sababu ya dini?
 
Aise jamaa wako serious

Ova
Duai, kwa waliofika watakueleza, hata ukienda shopping, ukiuliza bei wakishakupa bei wansikiliza wateja wengine, hawana muda w kupoteza.

Mkataba unasema kazi zinaanza makubaliano yakisainiwa tu, siku ile ile wameanza kujipanga.

Wale ni wafanyabiashara, wanaelewa maana ya time is money, hawana muda wa ngonjera.
 
Na wewe nae, kumbe unasikia tu? Una msikio makubwa mabasi. Funguwa na ubongo wako na machoyako.

Mkataba wa kuuzwa nchi upo tayari. Hivi hebu jitazame vizuri hapo ulipo, hujahamishiw aDubai wewe?
kuna kitu kimekusibu huu uandishi sio wako
 
Namaanisha hoja juu ya vipengele vyenye mashaka zijibiwe, au mwenzetu umejaza kinyesi kichwani? Akili umetupa chini sababu ya dini?
Nyie ongeeni uharo, kinyesi, makamasi, mlikatazwa?

DP World maongezi yao ni kuchapa kazi tu.
 
Back
Top Bottom