Ole Sabaya afikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi na kufunguliwa kesi mpya. Amkataa Mwendesha Mashtaka wa TAKUKURU

kijana bado anabananishwa tu, aisee !!
 
Watamfungulia kesi huyu Sabaya nyingi tu na kila sehemu. Tungoje na yule aliyeko Canada naye amfungulie kesi Sabaya kabla na wale wa Ubelgiji na Marekani hawajamfungulia kesi, ukiachilia mbali hawa wa hapa DAR-ES-SALAAM! Aaaaaah!
 
Kwa kweli ile kesi ya kwanza Sabaya hakutakiwa kuachwa huru.
 
jamani hii serikali ya samia imu achie huyo kijana
 
Mh.aingilie kati kumnusuru huyu kijana kwenye hili sakata kuna mkono wa mtu hapa sio bure na bila shaka ni yule aliyetoka majuzi.
Kila mtu ata lipwa kwa mujibu wa ujira wake. Huyu alidhani dunia ni yake. Ati hamtaki mwendesha mashtaka kwa vile ana toka Hai.. Vichekesho hivyo... Yaani huyu ndie mzuri kwa vile alikuwa na wilaya moja. Anajua upumbavu wooote alio tenda.
 
Huyu Sabaya anatakiwa akutane na yule mwamba wa Mwanza, Saidi Oswaya
 
Yeye kama hamtaki mwendesha mashtaka wa Jamhuri, afanye mgomo wa kwenda mahakamani kusikiliza kesi dhidi yake. Akae nyumbani anywe bia halafu alale. Ngoma ipigwe upande mmoja "EX PARTE".

Ndio atajua kwanini dunia ya mviringo!
Hivi kisheria mwendesha mashtaka anaweza kukataliwa na mtuhumiwa?
 
Kadri wanavyomuandama na ndivyo wanavyompaisha kwa siku zijazo!
Acha kujipa matumaini ya kijinga,hakuna anayemwandama zaidi ya kulipa maovu aliyoyafanya,na apaishwe ili aende wapi??[emoji2][emoji2]huyu hata akisamehewa leo atakuwa hana jipya lolote mtaani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…