Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Watu wa kawaida wanampenda mno Sabay, ila mafisadi wanamchukia mno SabayaNa jambo la tatu ni fedheha ya kuvishwa pingu kuambiwa uchuchumae na watu wale wale uliokuwa unawaburuza
Mimi ni mtu wa kawaida sina cha ziada zaidi ya Mungu na familia yangu ila nakuhakikishia sikumpenda SabayaWatu wa kawaida wanampenda mno Sabay, ila mafisadi wanamchukia mno Sabaya
Tena wengi sanaaaaaa.Kuna watz utasema wanatumiaga mata.ko kufikiri
We mat*k* hufahamu kwamba kwao Sabaya ni Sambasha Wilaya ya Arumeru?Mtu wa Hai anaenda kusomewa mashitaka Arusha ili iweje?
Hai hamna mahakama? Na mkoa wa Kilimanjaro je?
Wameogopa mafuriko ya watu mahakamani.
Mahakamani ni sehemu ya kutoa haki kwa hiyo ni vizuri amepelekwa huko ili sasa akina Mbowe wawe wanaenda mahakamani kutoa ushahidi juu ya madai yao.
Mbowe asipoenda kutoa ushahidi mahakamani tutajua ni unafiki tu
Hata Mbowe alikaa Segerea kwa miezi nne na madawa ya kulevya yakaisha mtaani
Kwani bado ni mkuu wa wilaya?MKUU WA WILAYA HANA DHAMANA?
Kidplomasia ikoje
Usiogope aliowalawiti hawataitwa kutoa ushaidi woteYaani wayu wa humu jf bwana .mtuambie kafanya makosa gani andikeni humu tujue sio mnaleta polojo tu uhujumu uchumi ni enwo pana je kahujumu nini?
Kweli wewe ni mtanzania?Mtu wa Hai anaenda kusomewa mashitaka Arusha ili iweje?
Hai hamna mahakama? Na mkoa wa Kilimanjaro je?
Wameogopa mafuriko ya watu mahakamani.
Mahakamani ni sehemu ya kutoa haki kwa hiyo ni vizuri amepelekwa huko ili sasa akina Mbowe wawe wanaenda mahakamani kutoa ushahidi juu ya madai yao.
Mbowe asipoenda kutoa ushahidi mahakamani tutajua ni unafiki tu
Hata Mbowe alikaa Segerea kwa miezi nne na madawa ya kulevya yakaisha mtaani
Ana kesi ya kujibu.Sabaya amehukumiwa?
Haki ya kutesa na kupora watu pesa,ccm ni genge la majambaziMkuu wa ulinzi na usalama wa wilaya akamate siraha na kufanya uvamizi usiku ni tuhuma kubwa sana. Hivyo mpaka anamfikisha mahakamani basi ushahidi umekamilika.
Achana na unyag'anyi wa kutumia siraha, uhujumu uchumi au kutesa na kupiga watu na utakatishaji pesa ni mashitaka ambayo hayana dhamana.
Lakini kwa kiongozi ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama kufanya makosa makubwa kama haya basi lazima Ocd, Oc-Cid, Dso afahamu anafanya uhalifu. Kama hawafahamu basi ni uzembe. Lakini kama walifahamu kwa miaka mitatu walikuwa wapi kumkamatisha? Watu watasema alilindwa!
Ok, ni mhalifu na anahatia, upelelezi umekamilika. Kwa nini akae rumande? Ilitakiwa Jumatatu asomewe maelezo ya awali, kesi ianze kusikilizwa na apate haki yake.
Mkuu j3 anapandishwa kizimbani kilimanjaro,then manyara,dom,dar...arusha kosemewa tuhuma za arusha tu.anakesi 900 na ushee hivi......jambazi kavuna alichopandaLa ubakaji kwanini halikuwekwa ? Nafikiria kukata rufaa
We piga kelele ikikuuma sana kaungane naye.Mtu wa Hai anaenda kusomewa mashitaka Arusha ili iweje?
Hai hamna mahakama? Na mkoa wa Kilimanjaro je?
Wameogopa mafuriko ya watu mahakamani.
Mahakamani ni sehemu ya kutoa haki kwa hiyo ni vizuri amepelekwa huko ili sasa akina Mbowe wawe wanaenda mahakamani kutoa ushahidi juu ya madai yao.
Mbowe asipoenda kutoa ushahidi mahakamani tutajua ni unafiki tu
Hata Mbowe alikaa Segerea kwa miezi nne na madawa ya kulevya yakaisha mtaani
Sabaya aliwaonea sana watu hasa wapinzani! Asante Mungu kwa yanayomkuta....
Kasome hati ya mashtaka π ππ. Anavuna alichopanda, afadhali yeye kapewa nafasi ya kufikishwa mahakamani kuliko wale aliokuwa anawaminya kimya kimya na kuwafanyia unyama.Yaani wayu wa humu jf bwana .mtuambie kafanya makosa gani andikeni humu tujue sio mnaleta polojo tu uhujumu uchumi ni enwo pana je kahujumu nini?
Hayo ni mapitoNa jambo la tatu ni fedheha ya kuvishwa pingu kuambiwa uchuchumae na watu wale wale uliokuwa unawaburuza
Ujira mikononi mwao...lol, ππUzuri wapumbavu kama wewe mnelekea kuisha nchi hii. Uovu haulipi na mmoja mmoja mtaendelea kupokea ujira wenu kila mtu kwa wakati wake.