Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna cha kafara wala nini, hilo anastahili kupitia natamani huo uwe ni mwanzo tu wale wote waluoshiriki uovu kipindi cha hapa karibuni waadabishwe vilivyo kwa mujibu wa sheria na taratibu zilizoko.Mkuu wa ulinzi na usalama wa wilaya akamate siraha na kufanya uvamizi usiku ni tuhuma kubwa sana. Hivyo mpaka anamfikisha mahakamani basi ushahidi umekamilika.
Acha na unyag'anyi wa kutumia siraha, uhujumu uchumi au kutesa na kupiga watu na utakatishaji pesa ni mashitaka ambayo hayana dhamana.
Lakini kwa kiongozi ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama kufanya makosa makubwa kama haya basi lazima Ocd, Oc-Cid, Dso afahamu anafanya uhalifu. Kama hawafahamu basi ni uzembe. Lakini kama walifahamu kwa miaka mitatu walikuwa wapi kumkamatisha? Watu watasema alilindwa!
Ok, ni mhalifu na anahatia, upelelezi umekamilika. Kwa nini akae rumande? Ilitakiwa Jumatatu asomewe maelezo ya awali, kesi ianze kusikilizwa na apate haki yake.
Ndo maana Corona lililikatisha maisha. Jamaa lilikuwa ovu kweli. Limeenda na halirudi tenaaaaaaaaaaJPM kwa kuyajua yote hayo, akaamua kuwakomesha wachaga kwa kuwapelekea jambazi!!!!!! kweli jamaa aliwachukia sana.
Watu wakiwa kwenye madaraka wanajisahau sana,ona sasa anavyoaibika,ccm wajifunze kwa hili tukio nchi huongozwa kwa mujibu wa sheria za nchi na si matakwa au akili za kiongozi.Hili mama samia limemkera sn! Hata juzi aliliongelea tena wakati anaapisha baadhi ya viongozi alowateua!
Kaka usijitoe ufahamu. Au nawe ni wale waliopata uraia wa kuomba na kisha ukaupata kuanzia Machi, 2021?Mkuu wa ulinzi na usalama wa wilaya akamate siraha na kufanya uvamizi usiku ni tuhuma kubwa sana. Hivyo mpaka anamfikisha mahakamani basi ushahidi umekamilika.
Achana na unyag'anyi wa kutumia siraha, uhujumu uchumi au kutesa na kupiga watu na utakatishaji pesa ni mashitaka ambayo hayana dhamana.
Lakini kwa kiongozi ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama kufanya makosa makubwa kama haya basi lazima Ocd, Oc-Cid, Dso afahamu anafanya uhalifu. Kama hawafahamu basi ni uzembe. Lakini kama walifahamu kwa miaka mitatu walikuwa wapi kumkamatisha? Watu watasema alilindwa!
Ok, ni mhalifu na anahatia, upelelezi umekamilika. Kwa nini akae rumande? Ilitakiwa Jumatatu asomewe maelezo ya awali, kesi ianze kusikilizwa na apate haki yake.
Kweli Mungu haziwakiwi!! Walijifanya wazalendo wa nchi hii, wakituaminisha uongo!! Leo kaumbuka. Bado Bashite.Aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Hai Ole ngai Sabaya leo tar. 04.05 2021 amefikishwa mahakani akiwa na wenzake watano.
Sabaya peke yake amesomewa mashitaka sita likiwemo la Uhujumu uchumi na utakatishaji fedha pamoja na unyang'anyi kwa kutumia silaha.
Kesi imeahirishwa mpaka June 18 2021 na watuhumiwa wote wamerudishwa rumande kwani makosa hayo hayana dhamana.
Chanzo cha habari: Azam
La ubakaji kwanini halikuwekwa ? Nafikiria kukata rufaaAliyekuwa mkuu DC wa Hai amesomea mashaka yake sita UHUJUMU UCHUMI UJAMBAZI KWA SILAHA KUTAKATISHA FEDHA NK AMEKWENDA RUMANDE MPAKA TAREHE 18/6/2021
[emoji16][emoji16]Mkaldayo acha uhuni mara moja..Haliwezi kuwepo kwasababu ushahidi hamna dna zake zilishapotea kwenye mbunye na tigo za wahanga
Na hivi alikuwa anakula kula tu anafaa kwa matumizi ya wanaume wagumu waliokosa mafuta kwa miaka mingi.Lazima atapata mabwana. Haitakuwa kazi ndogo huko ndani
Waterloo kuwa mpole tayari anafanywa cha.. kula huko aendako.Akapumzike stoo.hili liwe funzo kwa viongozi wanaoonesha kiburi wanapopewa madaraka. Akitoka jela tutamalizana nae kitaani .mse.nge huyo
Mkuu wa ulinzi na usalama wa wilaya akamate siraha na kufanya uvamizi usiku ni tuhuma kubwa sana. Hivyo mpaka anamfikisha mahakamani basi ushahidi umekamilika.
Achana na unyag'anyi wa kutumia siraha, uhujumu uchumi au kutesa na kupiga watu na utakatishaji pesa ni mashitaka ambayo hayana dhamana.
Lakini kwa kiongozi ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama kufanya makosa makubwa kama haya basi lazima Ocd, Oc-Cid, Dso afahamu anafanya uhalifu. Kama hawafahamu basi ni uzembe. Lakini kama walifahamu kwa miaka mitatu walikuwa wapi kumkamatisha? Watu watasema alilindwa!
Ok, ni mhalifu na anahatia, upelelezi umekamilika. Kwa nini akae rumande? Ilitakiwa Jumatatu asomewe maelezo ya awali, kesi ianze kusikilizwa na apate haki yake.
Acha bange, kwani Upinzani wanaendesha serikali? Wana hata kiongozi wa Kata? Acha upuuziMkuu wa ulinzi na usalama wa wilaya akamate siraha na kufanya uvamizi usiku ni tuhuma kubwa sana. Hivyo mpaka anamfikisha mahakamani basi ushahidi umekamilika.
Achana na unyag'anyi wa kutumia siraha, uhujumu uchumi au kutesa na kupiga watu na utakatishaji pesa ni mashitaka ambayo hayana dhamana.
Lakini kwa kiongozi ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama kufanya makosa makubwa kama haya basi lazima Ocd, Oc-Cid, Dso afahamu anafanya uhalifu. Kama hawafahamu basi ni uzembe. Lakini kama walifahamu kwa miaka mitatu walikuwa wapi kumkamatisha? Watu watasema alilindwa!
Ok, ni mhalifu na anahatia, upelelezi umekamilika. Kwa nini akae rumande? Ilitakiwa Jumatatu asomewe maelezo ya awali, kesi ianze kusikilizwa na apate haki yake.
Saana vijana wanaopewa madaraka wajitizame mno vyeo ni dhamana tu kwakweli hakuna aliye juu ya sheriaVijana tuna cha kujifunza katika maisha ,Muogope Muumba wako kila wakati .
Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Dogo mimi ni mtu mwenye msimamo. Unaposema mimi bingwa wa kusifia madhalilu unakoseaWapi ww bendera fuata upepo, ww si ndio bingwa wa kusifia madhalimu hapa nchini, ikiwemo huyo unayelinda kaburi lake? Umeona kibao kimemgeuka ndio unajifanya kuleta uzi wa kubalance shobo. Kafie mbali.